Swali la hovyo kabisa, haujui kama pombe ni stareheWakuu
Hii mada ni maalumu kwa wanywa pombe aina zote za kienyeji(gongo,wanzuki na ile ya mtama) na za kisasa (pombe kati na soft)
Tuambie kwa nini unakunywa pombe?
Eti kwanini unakunywa pombe😅😅😅 kaharibu uzi wakeSwali la hovyo kabisa, haujui kama pombe ni starehe
Anatuletea zeshen tu asubuhi subuhi.Eti kwanini unakunywa pombe😅😅😅 kaharibu uzi wake
Wewe ni mdau mwenzangu kwenye viunga vya KONYAGIIIINashukuru Konyagi hujaiwekwa Katika list
Pombe,hasa komoni na njimbo,inaongeza mahaba kwa wenza wetu.Unajisikia kumpenda kwa sana mama watoto.
nagawa pombe bure leo. Wadau karibuni nipo hapa mwayaya wilayani Buhigwe kigoma Tanzania, ofa kwa mtakao wahi kreti mbili mbili, saa kumi jioni nitaianza safari ya kurudi Burundi kikazi. karibuni sana ukifika mwayaya ulizia baa moja inaitwa Bugenzi BAR AND guest houseTishakuambia kwanini tunakunywa utatupa Pombe Au.
juzii jumapili nilipiga sana caste lager aiseeee ukizidisha pombeee unaumwaaPombe,hasa komoni na njimbo,inaongeza mahaba kwa wenzake.Unajisikia kumpenda tu mama watoto.
Ndio mlipa kodi mkubwa na namba moja TanganyikaWakuu
Hii mada ni maalumu kwa wanywa pombe aina zote za kienyeji(gongo,wanzuki na ile ya mtama) na za kisasa (pombe kati na soft)
Tuambie kwa nini unakunywa pombe?
Hatare sana
Sema neno kaka.Hatare sana
Hivi unajuwa kuwa kuna tofauti kati ya mlevi na mnywa pombe??? Kama ilivyo kufanya tendo la ndoa na kufanya umalaya???Wakuu
Hii mada ni maalumu kwa wanywa pombe aina zote za kienyeji(gongo,wanzuki na ile ya mtama) na za kisasa (pombe kati na soft)
Tuambie kwa nini unakunywa pombe?