Hata ivyo niwape pole single mama wote popote walipo.
Haijalishi penzi limekushinda,, baba kakimbia, umefiwa na baba mtoto haijalishi songa mbele hizi ni kelele tu ambazo hazikuathiri chochote.
Na pia niwaambie tu wasichana kuwa single mama si dhambi,, usikose ujasili wa kuweka vigezo vyako , kutimiza ndoto zako na kufanya mengi mazuri.
Na usikubali kukaa na mwanaume ambae unajua kuwa huyu hakufai na Hana sifa kisa tu wewe ni single mama.
Na hizi kelele zinazopigwa humu ni kwa sababu nyie ni hot cake!!! Maana huku uraini dada yenu nikienda kwenye kamati za sherehe za ndoa asilimia kubwa wanaoolewa ni single mama.