mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Wakuu,
Tukubali tukatae kwa sasa kumekuwa na matukio mengi ambayo sio ya kawaida Kama vile Kuuwana, kufanya vituko vya kujiaibisha na mhusika akaona ni sawa nk nk.
Ukisoma machapisho kadha wa kadha mambo haya yakekuwa yakihusishwa na janga la Afya ya Akili. (mental health).
Kwa bahati mbaya hili halijawahi kuwa kipaumbele cha Serikali wala Wizara ya Afya.
Je, serikali imefanya vya kutosha kuhusu kadhia hii?
Nini ni dalili za ugonjwa wa Afya ya Akili?
Ipi ni tiba ya Afya ya Akili?
Je, ukitambua mtu ana tatizo la Afya ya Akili hatua gani za kuchukua bila kumkwaza?
Mental health issue is real.
Social media if mishandled is a a disaster.
Uzi tayari.
Tukubali tukatae kwa sasa kumekuwa na matukio mengi ambayo sio ya kawaida Kama vile Kuuwana, kufanya vituko vya kujiaibisha na mhusika akaona ni sawa nk nk.
Ukisoma machapisho kadha wa kadha mambo haya yakekuwa yakihusishwa na janga la Afya ya Akili. (mental health).
Kwa bahati mbaya hili halijawahi kuwa kipaumbele cha Serikali wala Wizara ya Afya.
Je, serikali imefanya vya kutosha kuhusu kadhia hii?
Nini ni dalili za ugonjwa wa Afya ya Akili?
Ipi ni tiba ya Afya ya Akili?
Je, ukitambua mtu ana tatizo la Afya ya Akili hatua gani za kuchukua bila kumkwaza?
Mental health issue is real.
Social media if mishandled is a a disaster.
Uzi tayari.