Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

Matokeo yangu ya necta yak0 kama hv
hist C
civ D
kisw B+
geo D
eng B+
bio C
math C
naweza kusoma EGM au HGE
 
Nimemaliza kidato cha nne 2014 nikapata GPA 1.4 yaan Che-C Bio-C Kisw-B Geo-D Eng-D Civ-E Phy-E, naomben ushauri wenu jaman kama naweza kupata chuo na nikasomee nini?
 
Samahani Kwa Kuwa Nje Ya Mada Ila Nilikuwa Naomba Ushauri, Nimemaliza Kidato Cha Nne 2008. Nina DIV.2 Point 20 Na Sifa Zote Cha Kuomba Cheti Cha Afya Ila Nacte Wanataka Kuanzia 2009! Je, Niombe???
 
Binti yangu mwenye umri wa miaka18 alihitimu elimu yake ya kidato cha 4 mwaka 2014 na kupata matokeo haya:Civics C,History C,Geo D,Kiswahili B,English B,Biology D,Computer F,Math F,Com D na Book/k E.

Ninaomba ushauri wenu kwa matokeo kama haya binti yangu ana weza akaenda chuo gani/course ambayo inaweza ikawa rahisi kwake kidogo kupata ajira?.

Yeye mwenyewe ana pendelea kwenda chuo cha polisi lakini kufuatana na mazingira ya kazi yenyewe,nisingependa aende huko,chuo cha ualimu nako ninaona kunaweza kujakujitokeza tatizo la kushindwa kufundisha kwa kuwa binti yangu ana kigugumizi.

Mimi nilikuwa ninapendelea akasome chuo cha unesi au kilimo na mifugo lakini masomo aliyosoma yanamnyima fulsa hiyo.
 
Unesi ni ngumu kidogo mana hana physics na chemistry masomo ambayo ni basics ila apo ana chance ya advance kwa HKL kama yuko fit wacha akapige shule advance japo arts ni mtiti katika employment issues .. Polisi na ualimu ni bora zaidi haswa polisi mana akishaingia kwenye system ni bora zaidi na atachagua chochote apendacho kusoma akiwa tu ndani ya majeshi kama Mpunga unasoma mfukoni muache aende advice arts ili akimaliza university umpiganie kazi
 
Duh,nimeumia hapo uliposema anapenda ualimu ila ana kigugumizi,ila sina uhakika kuwa wote wenye vigugumizi hawawezi kuwa waalimu na pia asipokuwa mwalimu ataweza tu kufit kwenye idara za taaluma,au asomee course zingine za social sciences.
 
Unesi ni ngumu kidogo mana hana physics na chemistry masomo ambayo ni basics ila apo ana chance ya advance kwa HKL kama yuko fit wacha akapige shule advance japo arts ni mtiti katika employment issues .. Polisi na ualimu ni bora zaidi haswa polisi mana akishaingia kwenye system ni bora zaidi na atachagua chochote apendacho kusoma akiwa tu ndani ya majeshi kama Mpunga unasoma mfukoni muache aende advice arts ili akimaliza university umpiganie kazi

Asante kwa ushauri wako nimeupenda.
 
Duh,nimeumia hapo uliposema anapenda ualimu ila ana kigugumizi,ila sina uhakika kuwa wote wenye vigugumizi hawawezi kuwa waalimu na pia asipokuwa mwalimu ataweza tu kufit kwenye idara za taaluma,au asomee course zingine za social sciences.

Kuhusu suala la kuwa na kigugumizi itabidi nifanye utafiti kwa kuongea na walimu wenye sifa kama hiyo wanipe mwanga ni vipi wanavyo weza kukabiliana na suala hilo wanapofundisha pengine ninaweza nikapata nguvu hata ya kumpeleka chuo cha ualimu kama nitashindwa kupata njia mbadala.
 
Kunawalimuu wanakigugumizii mbonaa usiseme hivyo mwenye mtoto wako so ualimu ngumu sana kwasasaa kwasababuu wanachukua science tuu kwasasa so ebuu aende advance kwanza mambomengine badaee
 
Back
Top Bottom