tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Wana JF habari,
Napenda kuweka mada maalum sijafahamu kama ipo tayari humu ndani itakayokuwa inaonyesha mahali madini yalipo,aina ya madini hayo,changamoto zake ktk eneo husika yanakopatika na mwisho wanainchi wananufaika na nini kupitia madini hayo ktk eneo lao.
Hapa tuweke pembeni habari kuhusu mchango wa madini ktk pato la Taifa ambalo ni manufaa ya jumla kwa kila mtanzania huyo inajulikana.
Najaribu kufikiri Uzi huu unaweza kutia picha halisi kutoka kila eneo madini yalipo na ndiyo utakuwa ukweli mwenyewe kuhusu rasilimali yenye mvutano sana kama wachingiaji tukiwa serious.
Kama Kuna mawazo mbadala ktk kuboresha Uzi huu ruksa.
Uwanja uko wazi.
Napenda kuweka mada maalum sijafahamu kama ipo tayari humu ndani itakayokuwa inaonyesha mahali madini yalipo,aina ya madini hayo,changamoto zake ktk eneo husika yanakopatika na mwisho wanainchi wananufaika na nini kupitia madini hayo ktk eneo lao.
Hapa tuweke pembeni habari kuhusu mchango wa madini ktk pato la Taifa ambalo ni manufaa ya jumla kwa kila mtanzania huyo inajulikana.
Najaribu kufikiri Uzi huu unaweza kutia picha halisi kutoka kila eneo madini yalipo na ndiyo utakuwa ukweli mwenyewe kuhusu rasilimali yenye mvutano sana kama wachingiaji tukiwa serious.
Kama Kuna mawazo mbadala ktk kuboresha Uzi huu ruksa.
Uwanja uko wazi.