Mada maalum kwa wanandoa

Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha mkuu hili jambo la ndoa mara nyingi mtu hujifunza kwa vitendo, ingia ili nawe upate experiences zako, hata ukielezwa vp huwezi pata picha halisi mpaka utie maguu humo, mimi haya yote nilikuwa nayasikia lakini nikajipa moyo kuwa kwangu itakuwa tofauti, hahahahaha kilichonipata ndicho kilimtoa kanga manyoya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pole jitahidi kumuelewesha
 
Hivi hujuagi kuwa ubaya ndo huwa unavuma kuliko wema? Wapo wenye ndoa njema kibao tu, sema wengi wao hawanaga muda hata wa kuandika. Na hata wakiandika kusifia ndoa zao, tunakuwa wa kwanza kuwaongelea mbovu, sijui ndoa yenu ina miaka mingapi blah blah blah. In short binadamu hatupendi habari nzuri
Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unatemaga tanzanite..kudos[emoji2958][emoji2958]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Asee mkuu zihurumie mbavu zangu[emoji1787]

N.B. Mkuu we ni jipuuu, kuna kitu nimegundua[emoji23][emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
* No kusalimia wakwe
* Baba na mama wanasema kimya sana
*Nguo uliyovaa haijakupendeza
* Free kutoka out.

And you are here saying unawish kuvunja ndoa; kwa sababu hizo za hapo juu? Mpendwa hizo ni changamoto za kuvunja ndoa kweli; kweli? Aisee kuna watu wana changamoto, wewe unatania unless kuna mengine makubwa hujayasema

 
Nafikiri nimeanza kumuelewa mke wako
 
Anachokuambia ni kweli kuna matumizi ya lazima na yasiyokuwa yalazima
Nimemwambia hata mimi...wife yuko ktk right track [emoji848]

Utaendeshaje gari halina bima ya laki halafu unaenda kuspend 120, 000...full kuendesha usiku kama manyaunyau[emoji1787][emoji23][emoji23]

Jamaa jipuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji yeyote kuteseka kila siku ye ni kawaida yake lakini hachoswi na kile anachokichunga kwani anaamini kufanya hivyo kuna faida yake. Mfikirie mtu anaechunga mbuzi ye kila siku huvutana na mifugo yake lakini hachoki wala haiachi mifugo yake.
Tuje kwa binaadamu sasa
Ndoa ni kitendo cha kuchungana tena vibaya zaidi mnachungana wenye akili, hapo lazima uvumilivu na ustahamilivu wa hali ya juu unahitajika. Maana bila ya hivyo hakuna kudumu hapo. Tuvumiliane tu, kwani usiwaone bibi na babu wamefika mbali ujue wamevumiliana mengi sana.
Kwakweli siwezi kufunguka naendelea kufanya kama vile alivyofanya babu.

"ᵀʳʸ ⁿᵒᵗ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ᵇᵘᵗ ʳᵃᵗʰᵉʳ ᵗʳʸ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ᵛᵃˡᵘᵉ✓"
 
Umenichekesha mkuu....vice versa is also true[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…