Asanteni kwa maoni yenu,hiki ni kisa cha UKWELI kimetokea mbele ya macho yangu,sina sababu ya kukulazimisha uamini na ndio mana hii story sijampa rafiki yangu(mwandishi wa habari)ili aitoa kwenye gazeti,mana wengi mngesema imetungwa.Nina story ya AHADI YA KUNUNLIWA MELI WAKAZI WA ZIWA VICTORIA njinsi walivyoipokea,je wajua kuwa ahadi hii itamnyima kikwete kura kanda ya ziwa?,mana baba mmoja aliyepoteza famila yake (mke na watoto 4) aliniambia "walikuwa wapi miaka 15 yote"?,"mpaka tuwape kura ndio wanunue meli"?,"hana ata huruma na aibu kusema hiyo ahadi wakati huu wa kuomba kura"?,"mi naona anataka KULA sio kura","kwanini wameua reli"?"au wanafikiri hatujui kama wana BOTI na mabasi ya abiria ya kufanya biashara hapa"?,ni stori ya kweli ya kusikitisha jiandae.