Macho ya kizinzi yapoje?

acha tabia ya kuangalia wanawake wengine...ukiwa na mwanamke yeyote karibu yako ata kama upo karibu na dada yako.
 
Wewe ni mzinzi, haiwezekani watu wawili wakusingizie,kifupi uzinzi ni pepo ambalo huweza kuonekana kwenye paji la uso la mtu yeyote mzinzi
Nitatubu

California love
 
Hii kitu ht mm nilishawahi kuisikia kunamanzi aliongeaga mwanzo nilishanga ilaa nilivyochunguza kweli kunawatu wanamacho ya kizinzi na ni wazinzi kwelii
Macho yao yapoje physically?

California love
 


 
ahahaha macho ya fisi hayo

kwani ni wanawake wangapi wamekwambia hivo kama ni wawili usipoteze muda hao ni fikra zao tu
 
Pepo la ngono humtambua mwenzie mwenye pepo jingine,ukiambiwa sana hvyo elewa tu kua unalo pepo na mwenye anakwambia ako nalo
 
ushaambiwa una macho ya kizinzi sasa kama unataka kujua hayo macho yanafananaje nenda kajiangalie kwenye kioo utakachoona ndio jibu
Hahahahaha........Jamiiforum idumu na iheshimiwe na watu wote.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…