Macho ya kizinzi yapoje?

Na Kama haumwi macho
Kuna mdada yupo humu, akitoa miwani ni hatari!!
Ukijua una macho ya kuita, epuka kuangalia angalia watu machoni na kutabasamu tabasamu hovyo.
 
The boss Kuna watu wamezaliwa hivo tu hata akimwangalia yoyote bila kujali jinsia yoyote macho yako hivo tu, Sasa mtu huyo afanyeje sasa, maana sio mda wote utakuwa na simu Kuna mda utakuwa na watu au ofisini, so ku judge mtu hivo not fair ooh

Nimekuuliza Una macho hayo sawa..
Je kuwatazama wanaume na tabasam pia umeumbwa hivyo?
 
Jitizame kwenye kioo utalinganisha na yawengine
 
Kuna mdada yupo humu, akitoa miwani ni hatari!!
Ukijua una macho ya kuita, epuka kuangalia angalia watu machoni na kutabasamu tabasamu hovyo.
Sasa Kuna watu wameumbwa hivo in short ni mtihani
 
Nimekuuliza Una macho hayo sawa..
Je kuwatazama wanaume na tabasam pia umeumbwa hivyo?
Sina macho hayo mkuu.
Hapo kuwatazama mbona mtihani maana inashauriwa kumuangalia mtu machoni bila kupepesa macho, hyo tabasamu Mimi sijui kwa kweli maana na uso wa mbusi
 
Huyo boss wako alikuwa anakutaka kimapenzi so badala ya kukuambia wazi akaona akuambie "Una macho ya kizinzi" ili ukamilishe uzinzi wako kwake
 
Macho yasiyo tulia..
Kila ukiona mwanamke unamtazama Kwa matamanio..
Kama ni mwanamke akiona wanaume anwalegezea macho..wanaume tofauti tofauti..

Ndo macho ya uzinzi...
Kama mtoto anapoona muuza ukwaju anapita.
Au wauza pipi wanapita
Utulivu zero
Goood nitajitahidi kujicontrol

California love
 
Good sana,

California love
 
Wewe ni mzinzi, haiwezekani watu wawili wakusingizie,kifupi uzinzi ni pepo ambalo huweza kuonekana kwenye paji la uso la mtu yeyote mzinzi
 
Hii kitu ht mm nilishawahi kuisikia kunamanzi aliongeaga mwanzo nilishanga ilaa nilivyochunguza kweli kunawatu wanamacho ya kizinzi na ni wazinzi kwelii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…