Macho kucheza ni ishara ya nini?

Kila kitu unachokiona , magari maghorofa na tenkonologia kubwa ni matokeo ya ubongo , yani wazo
Yanii ile nimesikia Kuhusu mijusi na vijiwadudu gani sijui..
Siku nimekaa sehemu naona mijusi miwili kama inapigana hivi mjusi mmoja akadondokea maeneo nilipokaa ambapo niliambiwa Ukiona hivo jua kuna hatari kubwa itatokea especially Kuhusu kifo! 😞😞😭😭😭😭😭!

Two weeks mbele sweetmom died dahhhhh!!! 😭😭🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️

Nikakumbuka ile mijusi kupigana. Kujua hilo Imeniathri kinoma kiasi Kwamba saivi nikiona mjusi/ mijusi tu nakwepesha macho haraka sana nakukemea shindwaaa katika jina la Yesuu!!

Hivi vitu 🙌🙌🙌


Cc Smart911
 
Hatari sana
 
Hahaha inabidi tumwombe Mungu misusing itoweke duniani
 
Mimi nikiwa nanyelewa na baadhi ya magonjwa kama mafua jicho linaanza kucheza kabla sijaugua. Kwa kifupi jicho likicheza najua kuwa mwili wangu hauko katika hali nzuri.
 
Muscle spasm,kula karanga mbichi,una upungufu wa sodium
 
Jamani kaeni nae karibu maana kama ni medical explanation inasema msongo wa mawazo...hili ni tatizo tusije kumkosa kijana mwenzetu na nguvu kazi ya taifa
Muscle spasm, upungufu wa sodium
 
Kimila kwenye macho kucheza na ishara, wengine ni vice versa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…