Nimeona...Ehh bwana wee, Singapore wana A380 tayari?
Kibunango, unaona upana wa barabara Mkuu? Siyo unasema Mita 21 zinatosha.
Hivi hiki kiwanja cha ndege cha wapi? Paris sikumbuki wana barabara inapita juu au chini ya highywa.....
Nimeona...
unamtazamo gani na suala la maji jinsi yalivyo ya shida hapa TZ, je vipi suala la foleni mabarabarani? ndiyo kusema sisi tumeumbiwa foleni? kwanini tusijenge barabara za juu na chini kupunguza msongamano wa magari? Jana kuna mwananchi Dar alikuwa anaelekea hospitali na kwasababu ya foleni alijifungulia akiwa bado hajafika hospitalini! unalionaje hilo?Tunahitaji vitu basic kama maji, umeme na barabara zinazopitika mwaka mzima.
Abdulhalim,WaTZ kwa sasa (I mean 2000s-hadi 2100s) hatuhitaji vitu sosphisticated kama hivi maana tuna ardhi ya kutosha. Tunahitaji vitu basic kama maji, umeme na barabara zinazopitika mwaka mzima.
watanzania hatujalogwa, na dawa ya matatizo yetu itapatikana tu!
unamtazamo gani na suala la maji jinsi yalivyo ya shida hapa TZ,
Abdulhalim,
ningekuwa mimi ni Malecela na wewe ni Sophia Simba... ningekwambia yale maneno
je vipi suala la foleni mabarabarani? ndiyo kusema sisi tumeumbiwa foleni? kwanini tusijenge barabara za juu na chini kupunguza msongamano wa magari? Jana kuna mwananchi Dar alikuwa anaelekea hospitali na kwasababu ya foleni alijifungulia akiwa bado hajafika hospitalini! unalionaje hilo?
[/QUOTE]Maji sio shida ndugu, shida ni kuyasafisha na kuyapelekwa majumbani na kwingine yanapohitajika. Ndio maana tuna mito, maziwa na bahari. Hivi vyote ni vyanzo vya maji hivyo si kweli kuwa kuna shida ya maji.
[/SIZE]
Duh! Karibu sana, bahati mbaya sitokuwepo kipindi hicho hapo Zenj... Anyway ni vema vilevile kuwafikilia akina ngosha na taxi zao hiki hapa chini ni kituo chao cha kusuburia abiria. Ni chini ya mtiKama umeona basi poa sana.
Mwezi wa nne naingiza Zanzibar. Itabidi tu unipatie simu yako ili tuje tupate Ze Bia na Joice la tende kama kawaida na tuendelee na story.
Ehh bwana wee, Singapore wana A380 tayari?
Kibunango, unaona upana wa barabara Mkuu? Siyo unasema Mita 21 zinatosha.
Hivi hiki kiwanja cha ndege cha wapi? Paris sikumbuki wana barabara inapita juu au chini ya highywa.....