Machinga wasisumbuliwe

Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
 
Fix za mchana mchana. Kwa hiyo ukawapiga eeeh! We kweli noma
 
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
 
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
Mpe tu sio lazima akuoe
 
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
Mpe kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…