Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,807
- 31,783
Hali ya sintofahamu imeibuka jijin hapa baada ya machinga kuondoshwa kwa nguvu mjini hapa hasa Makoroboi eneo la msikiti
Maduka yamefungwa na huduma hakuna tena FFU wametenda kila kona ni noma
Naona mama mery tesha anajitaid kumuhalibia mabula ili makonda aje abebe jimbo kiulain
Maduka yamefungwa na huduma hakuna tena FFU wametenda kila kona ni noma
Naona mama mery tesha anajitaid kumuhalibia mabula ili makonda aje abebe jimbo kiulain