Machine ya kutengeneza chakula cha kuku

Machine ya kutengeneza chakula cha kuku

Joined
Apr 25, 2019
Posts
32
Reaction score
14
Wandugu habar,yapata mwaka sasa niliandika nahitaji machine ya kutotoresha vifaranga nashukuru nilipata,kupitia humu jf,sasa nataka machine ya kutengeneza vyakula vya kuku anaefaham watengenezaji tuwasiliane au msambazaji ani pm samahani kwa usumbufu wakubwa
 
Wandugu habar,yapata mwaka sasa niliandika nahitaji machine ya kutotoresha vifaranga nashukuru nilipata,kupitia humu jf,sasa nataka machine ya kutengeneza vyakula vya kuku anaefaham watengenezaji tuwasiliane au msambazaji ani pm samahani kwa usumbufu wakubwa
kama utahitaji kuagiza direct toka china unawea kuwasiliana na seller aliopo china +86 152 7570 9648 au kupitia Agent waitwao Gatemile Farms Tanzania ambapo na mimi nafanya kazi part time but kuagiza inachukua muda mpaka miezi miwili mzigo kufika hiyo ndio changamoto kubwa kama una haraka na mzigo
 
Naomba mawasiliano nipate incubator
kama utahitaji incubator ndogo ya mayai 48 ipo at Gatemile Farms Tanzania kama utahitaji zaidi ya hiyo unaweza agiza direct pamoja nasi kupitia seller wa china miss andy wang +86 152 7570 9648
 
Back
Top Bottom