mozambiqueone
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 232
- 119
Habari ndugu zangu tafadhali tujuzane juu ya biashara ya machine ya kukoboa na kusaga nafaka.
1.Mashine yenyewe; kiwango cha chini kabisa cha fedha cha kuweza kununua machine yenye tija .........
2.Uendeshaji
a. Namna bora ya udhibiti hasa ukiwa mbali na biashara ilipo
b.Eneo sahihi la kuweka machine ni kule kwenye mazao! Ni lazima kuwa hivyo, au vinginevyo
3. Faida
Kwa Wazoefu, mradi huu una faida kweli, au mtu afanye nini ili apate faida ya kutosha.
4.Mengineyo
Ushauri wowote utakaofaa juu ya biashara hii
1.Mashine yenyewe; kiwango cha chini kabisa cha fedha cha kuweza kununua machine yenye tija .........
2.Uendeshaji
a. Namna bora ya udhibiti hasa ukiwa mbali na biashara ilipo
b.Eneo sahihi la kuweka machine ni kule kwenye mazao! Ni lazima kuwa hivyo, au vinginevyo
3. Faida
Kwa Wazoefu, mradi huu una faida kweli, au mtu afanye nini ili apate faida ya kutosha.
4.Mengineyo
Ushauri wowote utakaofaa juu ya biashara hii