Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,245
- 4,016
Kituo cha kugeukia hicho. Inabidi upige U turn kabla hujakufaTURN POINT?Paitwe "Dead End" tu.
Kituo cha kugeukia hicho. Inabidi upige U turn kabla hujakufaTURN POINT?Paitwe "Dead End" tu.
HahaaaaaHapo bijampola umenikumbusha mbali sana
Nimetoka mbeya juziMorotown ni KAHUMBA, Na sio kahumbi! Kama ulivyoandika...
Na mzumbe kwa moto miaka yote!, Nanenane pia
Mbeya maeneo yote jirani na Mbeya Carnival, Chuo Cha Uhasibu
na MUST
![]()
Hivi MUST nako ni fireMorotown ni KAHUMBA, Na sio kahumbi! Kama ulivyoandika...
Na mzumbe kwa moto miaka yote!, Nanenane pia
Mbeya maeneo yote jirani na Mbeya Carnival, Chuo Cha Uhasibu
na MUST
![]()
kumbeHahahahatunaoelekea dodoma muda huu unatusaidiaje?



Hapo ni balaa na karibu Kila baa wanauza KitimotoTanga kuna sehemu inatwa sabasaba. Hatari sana
Paris loungeNaelekea Lindi, kituo wapi ndugu?
Tanga ipi?? Mjini au lushotoTanga kuna sehemu inatwa sabasaba. Hatari sana
Tanga Mjini mkuuTanga ipi?? Mjini au lushoto
Mtwara Kwa Brother Y, unapata mizigo mchana kweupeeWadau niaje hizi ndizo chimbo za totoz kwa wale mnaosafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
1.Tanga-Mombo&chichi
2.Morogoro-kahumba
3.Musoma-Embassy kwa shangazi
4.Bukoba-Liquid
5.Mtwara-Kwalipaja
6.Tabora-Oxygen
7.Mwanza-Kirumba,club 55,Nyegezi stand&Igoma
8.Makambako-Emirates
9.Moshi-Malindi
10.Mbeya-Mafiati
11.Kahama-Bijampola
12.Shinyanga-Bakurutu&Relini
13.Arusha-Mrina&Shivaz
14.Songea-La chaz
15.Dodoma-Chako ni chako
Nawatakia safari njema......Bon voyage
Kama hakuna mabibi basi hapo patakuwa patamu maana nachopendea pisi za TA hazina njaaa.Tanga Mjini mkuu