Hawa machawa wanaotaka watu waende uwanjani wakaaibishwe tena,ndio wanawapa kiburi viongozi.
Hawa viongozi wanashindwa kusajili na kufanya usajili wa kisiasa huku wakiungwa mkono na machawa na waandishi uchwara wanaolipwa kuwasifu viongozi.
Timu kwa sasa haina coach.Matola hana uwezo hata kidogo. Timu aliiweza Mgunda. Leo wanatafuta ili mradi awe mzungu na utapeli mwingi mwingi mara huyo kocha kapita wolves U17.
Uhuni kama huo unaungwa mkono na machawa.Inasikitisha
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hawa viongozi wanashindwa kusajili na kufanya usajili wa kisiasa huku wakiungwa mkono na machawa na waandishi uchwara wanaolipwa kuwasifu viongozi.
Timu kwa sasa haina coach.Matola hana uwezo hata kidogo. Timu aliiweza Mgunda. Leo wanatafuta ili mradi awe mzungu na utapeli mwingi mwingi mara huyo kocha kapita wolves U17.
Uhuni kama huo unaungwa mkono na machawa.Inasikitisha
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app