Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,369
- 1,336
nimejitolea kiwanja bure waje wajiuzie huku
Sent from my m3 note using JamiiForums mobile app
Sent from my m3 note using JamiiForums mobile app
Aisee we jamaaHawa wametumwa, ngoja tuhamie kwa wake zao na mabinti zao wakati wakiwa kwenye ulinzi
Hahaha! Unajidanganya, nani kakwambia ni wachagga? Fuatilia mkuu, no research, no right to speak.Kwa hakika siku hizi mambo yamebadilika sana. Miaka ile kupata tunda la kichaga ilikuwa nadra sana. Lakini siku hizi yamejaa tele sokoni. Hata lumbesa unabeba mradi hela yako tu.