Machali, Arfi kugombea ubunge kwa ACT-Wazalendo

Siasa zachuki hazifai wakati huu tuwe watulivu matusi kejeli siwakati wake kama huwezi kuchangia kaa kimya nachokiona nimatusi yawana cdm na Act bas tubadilike
 

kwa hiyo wamepitishwa na mkutano Mkuu au Kion gozi Mkuu ndio kila kitu anatangaza tu sasa Demokrasia ikowapi maana wengine hawana nafasi tena wagombea wamekwishateuliwa na Kiongozi Mkuu duh ZZK unaniangusha kijana
 
wamepitwa bila kupingwa chamani kwenye hayo majimbo? ina maana ni marufuku mwana-ACT kutangaza nia kwenye hayo majimbo? wanatangazwa kabla hawajahama vyama vyao? hawzi kuwatia matatani?
nilifungua Uzi kuhoji huu utaratibu WA Zitto kuteua wagombea bila kufuata katiba nikaambulia matusi kutoka kwa hao wasaliti, masalia na vifisadi vya uvccm.
 
Zitto kabla ya kuzungumza lazima avute ugoro kidogo! kwa hiyo mimi simshangai sana napia nawaoneeni huruma nyie mnao poteza muda wenu mwingi kumsikiliza kilaza kama zitto.
 
wewe akili yako ipo kwenye makalio aliesema cdm inakufa nani? acheni kunywa viroba kisha mje humu ndani kuleta uharo wenu,
 
Asubuhi Machali alikanusha kupitia Clouds FM, lakini nyakati za karibu na bunge kuvunjwa chochote chaweza kutokea.
 
Siasa mchezo mchafu,,na sio hao tu,wapo kibao wajameni,cdm wasipoangalia dogo atakibomo chama hawataamini.ndo maana viongozi wote wa cdm wa ngazi za juu wapo site kuhakikisha wanachunga kondoo wao vema

Why CHADEMA? kwani Moses Machali naye yuko CHADEMA? au NCCR itaimarika?
 

Kwani Moses Machali ni CHADEMA? confused
 

Pamoja na kwamba kuna mambo namuunga mkono,kwenye hili zitto kachemka kama kweli kawatangaza rasmi.mchakato wa chama bado unapitishaje watu moja kwa moja?demokrasia aliyokuwa anaililia iko wapi sasa?atajivua vipi uchu dhana ya umungu mtu kwenye chama?viongozi wenzake wasipomkemea na kuacha kiburi hiki atawakatisha watu wanaotamani kuwania kupitia chama hicho kwa kuamini kwamba zitto ana watu wake.hapo viti maalum bado.abadilike.
 

ukitaka kubomoa majimbo mengi ya upinzani ccm wampitishe MAGUFULI,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…