Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,860
HahahahaNimepata faraja sana kugundua SI MIMI PEKEE. Nimemaliza
HahahahaNimepata faraja sana kugundua SI MIMI PEKEE. Nimemaliza
Yeah!!!umezengumzia ujuzi au sio?
Abarikiwe kwa kukuonesha upuuzi?
kwanza unajua porn inaingiza hela nyingi kupitia wapi? kama ulikuwa hujui ni kupitia mitandao..... asilimia 70 ya web host za porn zipo marekani hadi hapa usipoelewa basi siwezi kukuelewesha zaidi
watu wanaenda na takwimu sio porojo za vijiweni. acha kukariri
Hawajiingiza kwa sababu ya heshima. Try common sense niqqaJaribuni common sense, kama porn industry Ingekuwa na utajiri huo, waigizaji wao wangekuwa mamilionea. Na karibia kila mtu angejiingiza kwenye porn kwa sababu ni rahisi. Acheni kupotosha.
bora umemjibu, au ungemwambia afungue data za marekani aone kitu gani kimempiku mwenzake ndio ataaminiHawajiingiza kwa sababu ya heshima. Try common sense niqqa
Hawajiingiza kwa sababu ya heshima. Try common sense niqqa
Kwahiyo ulifikiri unajadili na wajerumani kwa kiswahili? Kweli common sense is not so commonNilisahau nnajadili na watanzania. Endelea tu.
heheheheNimemkumbuka kakayangu Mandingo nikaamua nipite hapa[emoji38]
Hadi majina mnawajuaYupo mmoja Mia Khalifaa
Babe njoo tucheze ya kwetu moja!Kumbe porn inalipa