Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,637
- 675
Hahaa...babu Asprin, Mkaguzi. Hope ulifika Mrina hujaishia Moshi mkuu.Hivi hili basi nililopanda leo toka Moshi mpk Dar siyo Kilimanjaro kumbe?? Duh!
Hahaa...babu Asprin, Mkaguzi. Hope ulifika Mrina hujaishia Moshi mkuu.Hivi hili basi nililopanda leo toka Moshi mpk Dar siyo Kilimanjaro kumbe?? Duh!
Hii ripoti ilitakiwa waitoe Tra sio wewe ambaye unaonekana una maslahi ya kugombea nao abiria hao KLM Buskuchafua kivipi
Yani ulinganishe huo uchafu na KLM au Dar Exp?.kwanza hayo Mabasi yenu Tahmeed yananuka UDI mnachoma UDI hivi mnadhani wote ni wachawi au mnaturoga turudi tenaBado Tahmeed ataendelea kutamalaki sana hii route kutokana na namna anavyotoa huduma zake kwa viwango. Najua kuna watakaojaribu kufananisha Tahmeed na vibasi vingine kama klm na dar xpress
MichinaBado Tahmeed ataendelea kutamalaki sana hii route kutokana na namna anavyotoa huduma zake kwa viwango. Najua kuna watakaojaribu kufananisha Tahmeed na vibasi vingine kama klm na dar xpress
Kumbewabongo hawajawahi kujiuliza kwanini hii kampuni hawanunuagi magari yaliyokamilika badala yake wananunua body tu na hivo vingine kufungwa bongo vya kuungaunga, na ni moja kati ya kampuni zinazoongoza kufunga vitu vya malori kwenye bus

Kilimanjaro ni Fuso zileGooogle bei ya bas moja la klm au Dar express ufananishe na huo uchafu Wa kichina wa tahmeed
Acha hizo, watu walipe kodi halafu kodi itumike kulipa mishahara, posho na ulinzi wa kihiyo Daudi Bashite! No way!Acha hizo bhana;usituonyeshe ulivyo Bashite ,watu walipe Kodi . Bashite anahusikaje
Hujazoea AC ndio shida yako kubwa, sasa KLm unapigwa na vumbi ndio raha yakoHata iweje, sitapanda basi Lingine tofauti na KLM.
Siku moja nilikata tiketi ya TAHMEED, asubuhi nimeingia humo ndani nikashindwa kuhimili hewa ya humo ndani. Wanachoma UDI. Ikanibidi nitafute KLM nikakuta limejaa, nikasubiri niondoke keaho yake.
Sipandi basi lingine tofauti na KLM, na mtu asinipangie maana pesa nalipa mimi.
Tahmeed itasubiri sana kwa KLM, bado watoto sana.
Je mmiliki wa tahamed ni mbongo?ama mzamivu???Huyo utingo wa Tahmeed ana lake jambo.
Sawa,kama unayajua maisha yangu sawa kabisa Mkuu. Alimradi wote tu hai, hakuna kingine cha kujivunua zaidi ya Mwingine.Hujazoea AC ndio shida yako kubwa, sasa KLm unapigwa na vumbi ndio raha yako
Watu walipe Kodi na hatuna mtu anaitwa Bashite kwenye pay roll ya umma.Huyo Bashite unamjua wewe usitupoteze mda na maswala ya ki SHILAWADU SHILAWADU.Acha hizo, watu walipe kodi halafu kodi itumike kulipa mishahara, posho na ulinzi wa kihiyo Daudi Bashite! No way!
Dar Express na Kilimanjaro wameota mizizi Arusha na Kilimanjaro mijini na Vijijini sasa huwezi fananisha na Tahemed gari za kuwaka moto njiani kwanza gari za Waarabu kutoana kafara kila mwaka lazima basi iueBado Tahmeed ataendelea kutamalaki sana hii route kutokana na namna anavyotoa huduma zake kwa viwango. Najua kuna watakaojaribu kufananisha Tahmeed na vibasi vingine kama klm na dar xpress