valuablecock
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 783
- 804
Biashara za kuchafuana hazina nafasi katika soko la ushindani.
Labda bado kidogo tu tuanze kuezeka viwanda vyetu mapato hawalipi wanatuchelewesha hawapoleni abiria kwa kadhia iliyowapata
Jamaa hakuwa na kosa na mtu ndiyo maana anasahaulika haraka sana.Bashite Msahauni jamani nguvu ya ummah imeshindwa
Wanampangia baba mwenye Nyumba Majukumu ? Kelele Nyingi mitandaoni kwanini wasiende Magogoni kwenda kumface Baba mwenye nyumba kuusu Huyu BashiteJamaa hakuwa na kosa na mtu ndiyo maana anasahaulika haraka sana.
Hatupandi bus za Waarabu.. Sisi Kanda ya Kaskazini tunatumia bidhaa za Raia wa Ukanda huu. Ni Mwendo wa Klm, Dar express, Ngorika na Metro.Bado Tahmeed ataendelea kutamalaki sana hii route kutokana na namna anavyotoa huduma zake kwa viwango. Najua kuna watakaojaribu kufananisha Tahmeed na vibasi vingine kama klm na dar xpress
Umejishitaki bila kujuaHivi hili basi nililopanda leo toka Moshi mpk Dar siyo Kilimanjaro kumbe?? Duh!
Acha hizo bhana;usituonyeshe ulivyo Bashite ,watu walipe Kodi . Bashite anahusikajeShida Daudi Bashite hajaonesha vyeti!
Hilo sio tatizo, walipe kodiHatupandi bus za Waarabu.. Sisi Kanda ya Kaskazini tunatumia bidhaa za Raia wa Ukanda huu. Ni Mwendo wa Klm, Dar express, Ngorika na Metro.
Gooogle bei ya bas moja la klm au Dar express ufananishe na huo uchafu Wa kichina wa tahmeedBado Tahmeed ataendelea kutamalaki sana hii route kutokana na namna anavyotoa huduma zake kwa viwango. Najua kuna watakaojaribu kufananisha Tahmeed na vibasi vingine kama klm na dar xpress
Wewe unaangalia bei ya gari au huduma wanazopatiwa wateja?Gooogle bei ya bas moja la klm au Dar express ufananishe na huo uchafu Wa kichina wa tahmeed