YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,003
Bunge la kwanza la marekani lilipofanyika mara walipopata uhuru kulikuwa na Agenda moja kuu ambayo walijifungia nayo ndani na hawakuweka kwenye Hansard.Agenda hiyo ilikuwa walijiuliza hivi Kwa nini Wamarekani TULITAWALIWA ?
Wakachambua hiyo hoja wakaishia kusema kuwa walitawaliwa kwa kuwa walikuwa ni Wajinga.Kwamba kama wasingekuwa wajinga wasingetawaliwa.Wakajiadiliana kuwa ili wasitawaliwe wafanyaje? Wakakubaliana kuwa inabidi wabadilishe DNA.Sababu inaonyesha wazi kwamba kizazi kilichokuwepo wakati huo Marekani kilikuwa cha Wajinga ndio maana wakatawaliwa.
Wakajidiliana watabadilisheni DNA wapate kizazi cha watu wenye akili? Wakaona Dawa ni kuingiza nchini vijana wenye akili sana toka mataifa mbalimbali wahamie marekani.Sababu ya mkakati huu ilikuwa ni kuwawinda wale vijana ambao hawajaoa wala kuolewa wakijua kuwa wakifika wale uwezekano mkubwa wa kuparamia au kuparamiwa na mmarekani ni mkubwa sababu ya ashiki wanazokuwa nazo kwenye huo umri.
Mkakati huo ulisaidia mno kwani kundi la kwanza la vijana wengi wa kiume wa kiyahudi wenye akili za kuua mtu toka mataifa mbali mbali ikiwemo ujerumani,Israel n.k waliwasili Marekani na wote waliishia kuoa Wanawake wa Marekani na kuwa raia.Matokeo ya kizazi cha baadaye cha hao vijana ni Pamoja na yule aliyegundua bomu la atomic mmarekani J. Robert Oppenheimer,Watu kama akina Henry KISSINGER na wengine wengi.
Marekani tokea wakati huo ikawa na sera yao iliyojificha na wengi tuainjua kama BRAIN DRAIN ambayo kazi yake ni kuwinda watu wenye akili mno hasa vijana na kuwapa uraia marekani kwa kuwarubuni kwa maslahi makubwa nk.Ndio maana ukiitizama Marekani kwa sasa ni nchi ya mataifa mengi.Ni nchi ambayo raia wenye akili kutoka duniani kote wanapatikana marekani.Madaktari wazuri wako marekani wakiwemo watanzania,Maprofesa wazuri wako marekani wakiwemo watanzania nk
Mambo yale yaliyoamuriwa na bunge kwenye vikao vya siri yanafanya kazi hadi leo
Ukienda India waliisoma Tanzania wakaona haina wataalamu wa kutengeneza vito vya thamani vya madini ya Tanzanite.Bunge lao wakakaa kimya kimya wakapitisha na kuufanya mji wa Jaipur India kuwa wa viwanda vya kutengeneza vito vitokanavyo na Tanzanite.Na wanapata pesa nyingi kuliko Tanzania kwa biashara hiyo na sekta hiyo inaajiri zaidi ya wahidi elfu kumi na tano.
Wabunge wetu wanapobwata eti waonyeshwe live sura zao!!! Nawashangaa.Waangalie mabunge kama hayo ya wenzao kuna mengine walijifungia ndani wakajadili kimya kimya wakatoka kimya huoni hata kwenye Hansard.Lakini kitu walichotoka nacho ni cha uhakika kilichoenda shule na kinachosaidia nchi kwa miaka nenda rudi.Wananchi wangependa kuona matokeo
Nashukuru Nape MBUNGE NA WAZIRI MWENYE AKILI KULIONA HILO NA Kusema Si lazima liwe linarushwa bunge Live.wabunge wafike mahali waondoe utoto wajue bunge ni chombo nyeti chenye mambo nyeti mengi ambayo si yote mwananchi anatakiwa ajue wala nchi zingine wajue kwani hata hizo nchi zinazojifanya ziko transparent ni waongo wakubwa kuna vingine huwa hawaniki na wasivyovianika ni vingi kuliko wanavyoanika hadharani.
Wakachambua hiyo hoja wakaishia kusema kuwa walitawaliwa kwa kuwa walikuwa ni Wajinga.Kwamba kama wasingekuwa wajinga wasingetawaliwa.Wakajiadiliana kuwa ili wasitawaliwe wafanyaje? Wakakubaliana kuwa inabidi wabadilishe DNA.Sababu inaonyesha wazi kwamba kizazi kilichokuwepo wakati huo Marekani kilikuwa cha Wajinga ndio maana wakatawaliwa.
Wakajidiliana watabadilisheni DNA wapate kizazi cha watu wenye akili? Wakaona Dawa ni kuingiza nchini vijana wenye akili sana toka mataifa mbalimbali wahamie marekani.Sababu ya mkakati huu ilikuwa ni kuwawinda wale vijana ambao hawajaoa wala kuolewa wakijua kuwa wakifika wale uwezekano mkubwa wa kuparamia au kuparamiwa na mmarekani ni mkubwa sababu ya ashiki wanazokuwa nazo kwenye huo umri.
Mkakati huo ulisaidia mno kwani kundi la kwanza la vijana wengi wa kiume wa kiyahudi wenye akili za kuua mtu toka mataifa mbali mbali ikiwemo ujerumani,Israel n.k waliwasili Marekani na wote waliishia kuoa Wanawake wa Marekani na kuwa raia.Matokeo ya kizazi cha baadaye cha hao vijana ni Pamoja na yule aliyegundua bomu la atomic mmarekani J. Robert Oppenheimer,Watu kama akina Henry KISSINGER na wengine wengi.
Marekani tokea wakati huo ikawa na sera yao iliyojificha na wengi tuainjua kama BRAIN DRAIN ambayo kazi yake ni kuwinda watu wenye akili mno hasa vijana na kuwapa uraia marekani kwa kuwarubuni kwa maslahi makubwa nk.Ndio maana ukiitizama Marekani kwa sasa ni nchi ya mataifa mengi.Ni nchi ambayo raia wenye akili kutoka duniani kote wanapatikana marekani.Madaktari wazuri wako marekani wakiwemo watanzania,Maprofesa wazuri wako marekani wakiwemo watanzania nk
Mambo yale yaliyoamuriwa na bunge kwenye vikao vya siri yanafanya kazi hadi leo
Ukienda India waliisoma Tanzania wakaona haina wataalamu wa kutengeneza vito vya thamani vya madini ya Tanzanite.Bunge lao wakakaa kimya kimya wakapitisha na kuufanya mji wa Jaipur India kuwa wa viwanda vya kutengeneza vito vitokanavyo na Tanzanite.Na wanapata pesa nyingi kuliko Tanzania kwa biashara hiyo na sekta hiyo inaajiri zaidi ya wahidi elfu kumi na tano.
Wabunge wetu wanapobwata eti waonyeshwe live sura zao!!! Nawashangaa.Waangalie mabunge kama hayo ya wenzao kuna mengine walijifungia ndani wakajadili kimya kimya wakatoka kimya huoni hata kwenye Hansard.Lakini kitu walichotoka nacho ni cha uhakika kilichoenda shule na kinachosaidia nchi kwa miaka nenda rudi.Wananchi wangependa kuona matokeo
Nashukuru Nape MBUNGE NA WAZIRI MWENYE AKILI KULIONA HILO NA Kusema Si lazima liwe linarushwa bunge Live.wabunge wafike mahali waondoe utoto wajue bunge ni chombo nyeti chenye mambo nyeti mengi ambayo si yote mwananchi anatakiwa ajue wala nchi zingine wajue kwani hata hizo nchi zinazojifanya ziko transparent ni waongo wakubwa kuna vingine huwa hawaniki na wasivyovianika ni vingi kuliko wanavyoanika hadharani.