Mabula una hali ngumu kuiongoza Mwanza

Mabula una hali ngumu kuiongoza Mwanza

Hamjaona hata ufanisi wke,mshamjudge,pumbaff kwli nyie ni malofa
 
Kwani wasimpomfurahia yeye atapungukiwa nini? kwanza siyo wao waliomchagua, yeye anajua kaingia kwa jitihada zake binfsi. Yaani wamkatae halafu aingie kwa jitihada binafsi halafu eti apoteze muda wa kuwatumikia??
Wao ndiyo watakiona cha moto. Kwanza huyo mbunge siyo lazima aishi Mwanza.
 
Back
Top Bottom