mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
polisi wanapiga mabom mudahuu maeneo ya usa eneo linalotumia kujumuisha matokeo.lengo nikutawanya watu waliokua wakielekea halmashauri kusubiri matoke.pia watu kadhaa wameumia kwenye vurugu hizo bado niko hapa nikiendelea kufatilia ila hali nimbaya kwa sasa