Mabomu yanarindima mjini Kahama

Mabomu yanarindima mjini Kahama

Hali ilivyo sasa kama mtu akiangukia kwenye maji, mkitaka kumuokoa kama mko wengi inabidi mtoe taarifa polisi vingenevyo mtatawanywa kwa mabomu, ndicho unachomaanisha
Wale wa lowasa mbona walikua hawanukishwi mabomu? au intelijensia iliona ndo rais mtarajiwa?
 
Magari ya kampuni moja yamegongana uso kwa uso.......huyo mtani wenu Mtabilwa ni mjinga

Hahahahahaa, Magari hayajagongana, nilitaka tutambuane kwanza, ili tusije tukaingiliwa na mamluki. Kwa hiyo kibingwa nimeishasawazisha na mkuu jnrs
 
Hahahahahaa, Magari hayajagongana, nilitaka tutambuane kwanza, ili tusije tukaingiliwa na mamluki. Kwa hiyo kibingwa nimeishasawazisha na mkuu jnrs

Ahahahahahaaaaaaaahahahaaaaaaa......................mtaniiii itakuwa ulipiga Political science.......naona na mie unani neutralize kiaina. Maana jnrs anasema inakuwaje "bhono ighanke ughuntuka mura? " hahahahaaaa nimefurahi sana mtani.
 
Back
Top Bottom