- Thread starter
- #21
Hivi miaka 30 iliyopita maeneo kama Ubungo na Mwenge au hata Sinza ya leo palikuwaje?Tanesco ndio wanapaswa kuweka mitambo yao pembeni ya mji sio mjini
Hata watu wa Wazo wanataka kiwanda cha saruji kihame kwani kinapulizia vumbi kwenye nyumba zao!