Mabomu ya machozi yanarindima Kirumba Mwanza

Mabomu ya machozi yanarindima Kirumba Mwanza

Jamani wadau ,mwenye taarifa za mwanza juu ya fujo zilizotokea maeneo ya Kirumba na kusababisha mabomu n Risasi kumwagwa kuhusiana na Purukushani kati ya CCM na CHADEMA jioni hii .
Hebu atubwage kwenye tukio tupate habari kujua.
 
Asante Nzagamba na Mwitah Kwa kutuupdate,Hebu endeleeni kutupa data ........
 
Hakika askari wetu ni condom zinazotumiwa na magamba na kutupwa!
 
Uzi huu tayari upo jukwaani sasa hivi, peruzi utauona!
 
Magamba wanakufa kifo kibaya sana. Hata wanywe ARV's watakufa tu
 
Back
Top Bottom