Mabomu ya machozi yanapigwa muda huu uwanja wa Sheikh Amri Abeid, mashabiki wanataka warudishiwe hela zao

Mabomu ya machozi yanapigwa muda huu uwanja wa Sheikh Amri Abeid, mashabiki wanataka warudishiwe hela zao

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,587
Mashabiki wanataka hela zao baada ya mechi ya TRA na Simba kuahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha huko Arusha.

Askari wakaona njia pekee ya kutatua mgogoro huo wa mashabiki wameeanza kupiga mabomu na risasi za moto.

Nchi hii kila kitu ni matumizi ya nguvu tu.

Soma Pia: Mechi kati ya TRA United na Simba SC yaahirishwa hadi wakati mwingine kutokana na mvua

Mashabiki wa mpira na nyie mpunguze viherehere vya kujipendekeza kwa timu za sisiem
 
Naona vyombo vya habari wameambiwa wasitangaze kuwa kulipigwa mabomu. Naona wanaogopa watu wasikumbuke ya mo29. Pia wanahofia watu wakizidi kuzoea mabomu watakuwa hawana hofu tena.
 
1.MWENGE kukimbiza mienge zindiko
2.SIMBA na YANGA mipira
4.DINI ZA MCHONGO-mitume na manabii..mafuta ya upako,ushirikina
**5.WASANII- bongofleva bingo muvi.
**6.UJINGA *-kukosa ELIMU
 
Kwa hali ya kawaida Shabiki unadai hela Yako hapo uwanjani hasa unamdai nani?
Shabiki unaanzisha mkusanyiko ambao unaweza kuleta taharuki wizi na unyang'anyi ila unataka uachwe tu watu wakuchekee. Wanausalama wapo hapo kwa kazi hiyo ukiambiwa toka nje mechi hamna na sababu imetajwa tii. Hutaki utaisababishia familia Yako, wewe mwenyewe majeraha yasiyopona kwa haraka
 
Back
Top Bottom