Nchi hii kuna watu wanaitwa Ffu
Mimi mwenyewe nilihitimu mafunzo ya JKT, lakini nilipomshirikisha ona hawa jamaa ambao hata hawafikii kiwango changu katika mafunzu afu wanawatesa Raia kiasi kile, kiukweli huwa ninawaona kama sio watu wa maana.
Hahaaa...Vichinjio vyenu vilifanya kazi murua kabisa...Pana chezeya Yaenda aisee!.Aah.....Yaeda tupo shwaaari......kama maji ya nazi.....
Tulichukua........tukaweka.......makamandaaaaaa..........taratiiiibu........
Nchi hii kuna watu wanaitwa Ffu
Mimi mwenyewe nilihitimu mafunzo ya JKT, lakini nilipomshirikisha ona hawa jamaa ambao hata hawafikii kiwango changu katika mafunzu afu wanawatesa Raia kiasi kile, kiukweli huwa ninawaona kama sio watu wa maana.
Biafra wapo FFU wamepiga kambi pale. Pia wapo vijana wengi barabarani wanawabwekea muda mrefu. Labda FFU wamekosa subira.
Umejuaje ni mabomu........?........
Acha uhongo basi JKT si mnajifunza kilimo kule braza!?
Maana hata magufuli, Lowasa na mdogo wangu Annet wamepia JKT nadhani na wao watakuwa wako juu zaidi ya FFU.
Niko jirani na Biafra naendelea kusikia milio ya mabomu hadi sasa.
nw polisi kibao wameenda kumchukua idd azan kwake aend akasaini kilazima
Hivi haya mnayoyaimba "Mabomu" ni mabomu yapi hasa?!
Au ndio yale ya kutoa machozi tu?
Halafu hivi mabomu yanatoa milipuko au miiungurumo?
Acha uhongo basi JKT si mnajifunza kilimo kule braza!?
Maana hata magufuli, Lowasa na mdogo wangu Annet wamepia JKT nadhani na wao watakuwa wako juu zaidi ya FFU.