Naamini kaboom na rat tat tata ta ni milio tofauti ya bomu na risasi respectively. Nilisikia kaboom mara sita....baadae kuna jamaa kasema kaona Land Rover 3 za ffu zikienda huko
Mimi mwenyewe nilihitimu mafunzo ya JKT, lakini nilipomshirikisha ona hawa jamaa ambao hata hawafikii kiwango changu katika mafunzu afu wanawatesa Raia kiasi kile, kiukweli huwa ninawaona kama sio watu wa maana.