Kwanza ni kosa kupiga picha club lile ni eneo faragha kwa watu maalum hulazimishwi kwenda ndo mana watu hawavai magauni marefu pale ....hua ni full kujiachia hata chupi poa tu pale kuna wanouza mili yao na biashara zingine ingekua kanisani au barabarani hapo kweli ila club umebug men tena uache umbea wa kupIga picha pale ni faragha tu