R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,278
- 5,319
Kwani Dada huu ujumbe unakuumiza nini?Na kwa nini ikusumbue? Inaonyesha wewe ndo unapata shida zaidi na jinsi Wanawake walivyoamua kuishi kuliko Wanawake wenyewe, vinginevyo wao ndo wangekuja hapa kulalamika na kulia lia!
Ni ushauri na mtazamo wa mtoa uzi ili atakayeuona wa maana aufuate na atakaouona hauna maana naachane nao.