Mabinti wawili wanatafuta kazi ndani

Mabinti wawili wanatafuta kazi ndani

JMBONDE

Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
5
Reaction score
0
Naitwa mwalimu James Mbonde. Kuna Shemeji zangu NEEMA Na zulfa wako tayari kufanya kazi za ndani popote. Wapo hombolo Dodoma kwa mawasiliano call 0689710292
 
Naomba nijue umri?? Pia elimu zao?? Je kati ya hao yupo tayari kulea mtoto?? Maana mabinti wa sasa hawataki watoto. Pia nahitaji binti kigoli ambaye hamjui mwanaume.
 
Naomba nijue umri?? Pia elimu zao?? Je kati ya hao yupo tayari kulea mtoto?? Maana mabinti wa sasa hawataki watoto. Pia nahitaji binti kigoli ambaye hamjui mwanaume.

binti kigoli anahusiana vipi na ufanyaji wa kazi mkuu,au unataka mke?
 
JMBONDE umeshindwa kabisa kuwasaidia hao shemeji zako waendelee na masomo ukizingatia ww ni mwalimu unajua umhimu wa elimu???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi naitaji nakupigia simu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hahaha huyu jamaa ni tapeli wa kutisha usijaribu... amewatapeli wana-jf kibao
 
Wadau huyu jamaa ni TAPELI
mi ameshanitapeli pesa nimemtumia
MSITHUBUTU HATA KUMPIGIA
USHAHIDI NI HUU
 

Attachments

  • 1443091432911.jpg
    1443091432911.jpg
    59.8 KB · Views: 680
  • 1443091454806.jpg
    1443091454806.jpg
    57.6 KB · Views: 334
  • 1443091478131.jpg
    1443091478131.jpg
    58.1 KB · Views: 335
Hv vibinti vikishachokonolewa huwa hufahamu wao wote unahamia chini ni rahisi kutoroka kaz!


Mkuu ni kweli kabisa, hivi viumbe ni dhaifu sana,juzi wa kwangu katoroshwa na muuza urembo katudanganya eti baba yake huko Kigoma kafariki,katujia analia kabisa kumbe masikini alikuwa anaigiaza,kuulizia kumbe alikuwa ni muongo,masikini eti amemuua baba yake kisa dushelele,kweli maisha haya,tumewaambia ndugu zake wa Kigoma wamesikitika sana
 
hahaha huyu jamaa ni tapeli wa kutisha usijaribu... amewatapeli wana-jf kibao

Mdau na mimi nishaliwa na huyu jamaa aisee
Nimekuja kustuka baada ya kusoma hii coment yako
Na kaniblock kabisa
Yan dah.
 
JMBONDE umeshindwa kabisa kuwasaidia hao shemeji zako waendelee na masomo ukizingatia ww ni mwalimu unajua umhimu wa elimu???


Kuna shida hapo, alikuwepo mwingine hivo hivo anakwambia anamabint toka Dodoma, mnakubaliana ukimrishia pesa ya nauli ndio habari inaishia hapo. miaka ya siku hizi ulisikia wapi mabeki tatu wakatafuta kazi?? sisi ndio tunawatafuta wao.

Kwanza ngoja nikuchulie mmoja best yangu.
 
Mdau na mimi nishaliwa na huyu jamaa aisee
Nimekuja kustuka baada ya kusoma hii coment yako
Na kaniblock kabisa
Yan dah.
oooh pole mkuu, ametapeli watu wengi sana hapa jf, mimi nilifanikiwa kumpeleleza vizuri, coz aliniambia nitume nauli nikamwambia asijali kuna mabasi nawafahamu makonda na dereva nitalipia mwenyewe akaanza story eeh wako mbali na eneo la stand nitume 7,000 ya bodaboda nikamwambia asijali kuna mtu wa pikipiki namfahamu aniagize eneo walipo aje kuwafuata akaanza eeeh hawana nguo za kuvaa na bagi la kubebea nguo so nitume hela la bagi.... nikasema oooooh akili za kupewa changanya na zake nikamkimbia mbio...nikajua anataka kuniingiza town..
 
oooh pole mkuu, ametapeli watu wengi sana hapa jf, mimi nilifanikiwa kumpeleleza vizuri, coz aliniambia nitume nauli nikamwambia asijali kuna mabasi nawafahamu makonda na dereva nitalipia mwenyewe akaanza story eeh wako mbali na eneo la stand nitume 7,000 ya bodaboda nikamwambia asijali kuna mtu wa pikipiki namfahamu aniagize eneo walipo aje kuwafuata akaanza eeeh hawana nguo za kuvaa na bagi la kubebea nguo so nitume hela la bagi.... nikasema oooooh akili za kupewa changanya na zake nikamkimbia mbio...nikajua anataka kuniingiza town..

Yan kaka we acha tu
Ila nitaleta mrejesho soon hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom