Abraham Bwire
Member
- Mar 1, 2013
- 28
- 4
Nimefanya uchunguzi wakina, nikabaini kuwa, watu wanao ongoza kuwatesa wenzao kimapenzi ni wanawake...japo wanaume wapo pia lakini katika grafu yangu inaonesha wanawake wana asilimia kubwa. Hi ni kwasababu zifuatazo.
1. Akitambua unampenda sana.
2. Tamaa yakutaka kuwa navitu vingi na vikubwa ambapo mwanaume aliye naye hana uwezo wa kumpatia vitu hivyo.
3. Akitambua kuwa mwanaume aliye naye anajua kuwa yeye ni mzuri, na hawezi kupata mwingine kama yeye.
4. Kutotambua niwakati upi anapaswa kuzungumza kipi na kufanya kipi.
5. Kujiamini kupita kiasi
6. Tofauti za kipato katika familia wanazotoka kila mmoja
7. Tofauti ya kipato kwa wao wenyewe.
8. Marafiki walio nao wanaweza kuchangia pia katika upande wa mateso hayo.
9. Kutojikubali wao wenyewe.
10. Kutokuwa na mbinu zakutatua matatizo yanayo wakabili.
1. Akitambua unampenda sana.
2. Tamaa yakutaka kuwa navitu vingi na vikubwa ambapo mwanaume aliye naye hana uwezo wa kumpatia vitu hivyo.
3. Akitambua kuwa mwanaume aliye naye anajua kuwa yeye ni mzuri, na hawezi kupata mwingine kama yeye.
4. Kutotambua niwakati upi anapaswa kuzungumza kipi na kufanya kipi.
5. Kujiamini kupita kiasi
6. Tofauti za kipato katika familia wanazotoka kila mmoja
7. Tofauti ya kipato kwa wao wenyewe.
8. Marafiki walio nao wanaweza kuchangia pia katika upande wa mateso hayo.
9. Kutojikubali wao wenyewe.
10. Kutokuwa na mbinu zakutatua matatizo yanayo wakabili.