Mabinti wa siku hizi wachafu tu

Mabinti wa siku hizi wachafu tu

Duuu!mkuu pole,ila ungempeleka carwash ili apigwe presha,ungemgegeda kwa raha zako
 
Kama aliye mchafu ni binti mmoja tu aliyekuwa mpenzi wako WHY unajumuisha hata kwa WACHUMBA zetu kama nao ni wachafu?Population sample ya mtu mmoja kweli ina determine kuwa WASICHANA wote TZ zaidi ya mamilion ni wachafu?

dala dala
hata vimasomo rahisi kama probability ya discrete na continous umeshindwa ku apply hapa?Mdada mmoja mchafu anajumuisha madada WOTE TANZANIA?Very poor reasoning from probability variance!

Kuwa muungwana waombe radhi hawa madada wa MMU na kwingineko!Jumuisho lako limewavunjia heshima madada wengi mno Tanzania

Me sijaona kama amekosea jaman Alikuwa anatoa tu ushaur, pia bro ww kama mpnz wako ni msafi hii haimhusu kabisa ila yeye alilenga wale wachafu ambao kubal ukatae wapo katika jamiii.pia katika uandishi anasema alimuacha mpnz wake kwa sababu hakutaka kubadilika, t means kwamba alishamrekebisha katika hilo ila imeshindikana.
 
Me sijaona kama amekosea jaman Alikuwa anatoa tu ushaur, pia bro ww kama mpnz wako ni msafi hii haimhusu kabisa ila yeye alilenga wale wachafu ambao kubal ukatae wapo katika jamiii.pia katika uandishi anasema alimuacha mpnz wake kwa sababu hakutaka kubadilika, t means kwamba alishamrekebisha katika hilo ila imeshindikana.

"Mabinti wa siku hizi wachafu wachafu tu"Hapo ka generalize mabinti wote

Kama issue ni kumsema demu wake angeandika easily kabisa kuwa"Mchumba wangu ni mchafu"

Kama angependa kuwa exclusive zaidi angeandika "Baadhi ya mabinti wa siku hizi ni wachafu wachafu tu"

Kama angependa kunyambulisha zaidi angeandika"Mchumba wangu(angetaja jina lake)ni mchafu mchafu mno,Je wenzangu akina Malafyale nanyi wachumba zenu ni wachafu wachafu kama wangu?"!Then angesubiri majibu

Ajilindie heshima yake kwa kuomba tu msamaha hapa ahahahah
 
hivi uende haja ndogo alaf unawe na maji na sabuni alaf ufunike ch..pi huoni huo pia ni uchafu lazima ukishanawa ujikaushe na toilet paper au tishu acha kutudanganya bana lasivyo utabaki na maji maji mwisho wa siku mafangas tu..alaf usafi ni tabia ya mtu usitujumuishe wote.

Sijasema matumizi ya tishu baada ya kunawa kwa maji na sabuni ni kosa, tatizo ni pale tu unapotumia tishu pekee yake. Vile vile kisayansi ni rahisi mwanamke kupata infection endapo sehemu ya nyuma haisafishwi vizuri kwani sehemu ya mbele na ile ya nyuma vipo karibu. Ni rahisi sana kupata UTI, Trachomoniasis na magonjwa mengine ambayo yanapatikana kupitia uro-genital track.
 
"mabinti wa siku hizi wachafu wachafu tu"hapo ka generalize mabinti wote

kama issue ni kumsema demu wake angeandika easily kabisa kuwa"mchumba wangu ni mchafu"

kama angependa kuwa exclusive zaidi angeandika "baadhi ya mabinti wa siku hizi ni wachafu wachafu tu"

kama angependa kunyambulisha zaidi angeandika"mchumba wangu(angetaja jina lake)ni mchafu mchafu mno,je wenzangu akina malafyale nanyi wachumba zenu ni wachafu wachafu kama wangu?"!then angesubiri majibu

ajilindie heshima yake kwa kuomba tu msamaha hapa ahahahah

ninaomba radhi kwa kujumuisha mabinti wote.......samahani kwa hili lakini ukweli unabaki pale pale, msichana mchafu havumiliki, lengo ni kukumbushana maana wakati mwingine si rahisi kumwambia mpenzio ni mchafu lakini kupitia sehemu kama hizi wengi hujifunza. Samahani kwa waliokwazika!!
 
sijui kama ulikuwa makini katika kuandika kichwa cha habar.. kajipange upya tena.
 
Mdau ulivyopiga dog style naona ulichokiona ni fungus weupe kwenye makalio but ulikuwa unatakiwa kumpeleka hospto mbona kuna tiba lakin si kumdhalilisha kihivyo...Kwanza sometymes hawo fungus wasichana hawajui kama wanao na wanajiona wako pouwa tu na maranyingi fungus hawo utokana na kujiswafi na maji chumvi, maji ya visimani sasa wewe kama mwenza wake ndo unatakiwa to take care of it..! na si kumuacha nakushauri baki njia kuu utaacha wangapi..??
 
Back
Top Bottom