Mabinti wa siku hizi wachafu tu

Mabinti wa siku hizi wachafu tu

dala dala

Senior Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
106
Reaction score
105
Hili ni somo muhimu katika kuimarisha mahusiano kati ya Mume na Mke au baina ya marafiki.

Usafi ni muhimu sana kwa pande zote yaani mwanamume na Mwanamke,ila kutokana na maumbile usafi ni muhimu zaidi kwa jinsi ya kike.

Nalazimika kuandika maneno haya ili kusaidia kuimarisha mahusiano, jamani uchafu kwa mwanamke ni bala, waweza hata kuvunja ndoa yako kwa sababu hii.

Ashakumu si matusi, sehemu za siri zinatakiwa zisafishwe mara kwa mara hususani baada ya haja ndogo.

Vile vile ukienda haja kubwa jitahidi kujisafisha kwa maji na sabuni sehemu ya nyuma.

Jamani kuna siku nikiwa na rafiki wangu wa kike nikaomba staili ya kuinama (sio 0655), ha ha haaaaaa nilichokipata huko ni dhahama, hadi hisia zikakatika papo hapo.

Na kwa kuwa hakubadilika sikuona haja ya kuendelea naye ingawa nilimpenda.

Ushauri wangu wa bure pale ambapo maji yanapatikana basi fanyeni usafi wa kutosha maana wanaume wengi wahapendi mweza mchafu.

Na wale mnaopenda kutumia tishu baada ya haja ndogo au kubwa mwelewe kuwa huo sio usafi, tumia maji nawa kwa sabuni utakuwa nadhifu.
 
Yani jina lako na Mada zinalingana...mkuu sema baadhi ya mabinti.... Sasa ulipo muona mchafu wewe ukiwa msafi si wajib wKo kumfundisha au kumuonyesha fanya hivi au?
 
Labda kama umezoea kuwapiga mabaamedi maana ndo wachafu sana hao,,,,,,Na ww kwani lazima umuinamishe mwenzio, hapo alifanya makusudi kukuonyesha uchafu maana hapendi hiyo style yakuinamishwa mwenzio, ulikuwa unataka 0713 ndo maana ukamuinamisha na amekukomesha ili usifikirie hata kubip
 
Hakubadilika, pia ninapokea ushauri wako kuwa si Mabinti wote bali baadhi yao ni wachafu wa mwili. Uchafu ni aibu promiseme....usiombe yakukute ndugu...
 
Labda kama umezoea kuwapiga mabaamedi maana ndo wachafu sana hao,,,,,,Na ww kwani lazima umuinamishe mwenzio, hapo alifanya makusudi kukuonyesha uchafu maana hapendi hiyo style yakuinamishwa mwenzio, ulikuwa unataka 0713 ndo maana ukamuinamisha na amekukomesha ili usifikirie hata kubip

Ni msomi mzuri tu, sema usafi ni tabia haina cha ubaa maid wala u-cashier wa bank. Sijawahi kuwaza kutumia 0713......
 
ha haaa haaa pole kikwapa vp hakuwa nacho maana nacho kinakera. utakuta kaka kapendeza lakini ukwapa mwee ah!! stim ileee inayeyaa. tuwe wasafi japo pale unapoenda kwa mpenzi.
 
Labda kama umezoea kuwapiga mabaamedi maana ndo wachafu sana hao,,,,,,Na ww kwani lazima umuinamishe mwenzio, hapo alifanya makusudi kukuonyesha uchafu maana hapendi hiyo style yakuinamishwa mwenzio, ulikuwa unataka 0713 ndo maana ukamuinamisha na amekukomesha ili usifikirie hata kubip

Aisee waombe msamaha hao watu. Ni wasafi sana labda bar za kuuzia pombe za kienyeji. Wanawazidi mademu wengi wanaojiahaua mjini humu!
 
7eb55310e22979ba322ac29aba7cb3fc.jpg
 
Kama aliye mchafu ni binti mmoja tu aliyekuwa mpenzi wako WHY unajumuisha hata kwa WACHUMBA zetu kama nao ni wachafu?Population sample ya mtu mmoja kweli ina determine kuwa WASICHANA wote TZ zaidi ya mamilion ni wachafu?

dala dala
hata vimasomo rahisi kama probability ya discrete na continous umeshindwa ku apply hapa?Mdada mmoja mchafu anajumuisha madada WOTE TANZANIA?Very poor reasoning from probability variance!

Kuwa muungwana waombe radhi hawa madada wa MMU na kwingineko!Jumuisho lako limewavunjia heshima madada wengi mno Tanzania
 
Hili ni somo muhimu katika kuimarisha mahusiano kati ya Mume na Mke au baina ya marafiki. Usafi ni muhimu sana kwa pande zote yaani mwanamume na Mwanamke,ila kutokana na maumbile usafi ni muhimu zaidi kwa jinsi ya kike. Nalazimika kuandika maneno haya ili kusaidia kuimarisha mahusiano, jamani uchafu kwa mwanamke ni balaaa, waweza hata kuvunja ndoa yako kwa sababu hii. Ashakumu si matusi, sehemu za siri zinatakiwa zisafishwe mara kwa mara hususani baada ya haja ndogo. Vile vile ukienda haja kubwa jitahidi kujisafisha kwa maji na sabuni sehemu ya nyuma. Jamani kuna siku nikiwa na rafiki wangu wa kike nikaomba staili ya kuinama (sio 0655), ha ha haaaaaa nilichokipata huko ni dhahama, hadi hisia zikakatika papo hapo. Na kwa kuwa hakubadilika sikuona haja ya kuendelea naye ingawa nilimpenda.

Ushauri wangu wa bure pale ambapo maji yanapatikana basi fanyeni usafi wa kutosha maana wanaume wengi wahapendi mweza mchafu. Na wale mnaopenda kutumia tishu baada ya haja ndogo au kubwa mwelewe kuwa huo sio usafi, tumia maji nawa kwa sabuni utakuwa nadhifu.

Umenishangaza sana tena utuombe radhi umetizalilisha mnooo huyo dem wako wa kuokota ndo utufanye wote tunafanana? Na inaelekea ulimnunua unashindwa tu kusema usafi ni tabia ya mtu na kama ulimpenda sana kama ulivyosema ungemrekebisha ikibidi uchukue maji umsafishe kabla hanjaanza kudinyana eeeh ndo kupenda huko. Omba radhi yafazali
 
Labda kama umezoea kuwapiga mabaamedi maana ndo wachafu sana hao,,,,,,Na ww kwani lazima umuinamishe mwenzio, hapo alifanya makusudi kukuonyesha uchafu maana hapendi hiyo style yakuinamishwa mwenzio, ulikuwa unataka 0713 ndo maana ukamuinamisha na amekukomesha ili usifikirie hata kubip

Ha haaaaa ahsante mkuuu
 
Hili ni somo muhimu katika kuimarisha mahusiano kati ya Mume na Mke au baina ya marafiki. Usafi ni muhimu sana kwa pande zote yaani mwanamume na Mwanamke,ila kutokana na maumbile usafi ni muhimu zaidi kwa jinsi ya kike. Nalazimika kuandika maneno haya ili kusaidia kuimarisha mahusiano, jamani uchafu kwa mwanamke ni balaaa, waweza hata kuvunja ndoa yako kwa sababu hii. Ashakumu si matusi, sehemu za siri zinatakiwa zisafishwe mara kwa mara hususani baada ya haja ndogo. Vile vile ukienda haja kubwa jitahidi kujisafisha kwa maji na sabuni sehemu ya nyuma. Jamani kuna siku nikiwa na rafiki wangu wa kike nikaomba staili ya kuinama (sio 0655), ha ha haaaaaa nilichokipata huko ni dhahama, hadi hisia zikakatika papo hapo. Na kwa kuwa hakubadilika sikuona haja ya kuendelea naye ingawa nilimpenda.

Ushauri wangu wa bure pale ambapo maji yanapatikana basi fanyeni usafi wa kutosha maana wanaume wengi wahapendi mweza mchafu. Na wale mnaopenda kutumia tishu baada ya haja ndogo au kubwa mwelewe kuwa huo sio usafi, tumia maji nawa kwa sabuni utakuwa nadhifu.

Muuza kahawa ebu ongeza kashata!
 
Usafi ndo mpango mxima mwanamke akiwa msafi huleta mvuto katika ma loveee
 
Bila shaka mtoa mada na wewe ni mchafuu...cz mara nyingi wapenzi wetu wanareflect tabia tulizonazo
 
Wanawake wachafu ndo mpango mzima huwa nikiwaona nawapenda bure
 
Back
Top Bottom