Mabinti wa Kimasai

Mabinti wa Kimasai

Status
Not open for further replies.

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Ndugu wana Jamiiforums

Kuna rafiki yangu kipenzi ana mpenzi wake wa kimasai, hawana muda mrefu sana katika mahusiano, sasa naona kama vile ana mpango mkubwa na huyo mpenzi wake, sasa anataka kujua tabia generally za mabinti wa kimasai na mila zao ili afanye maamuzi yake.

Please, mwenye taarifa na habari zaidi ya watu hawa karibuni sana.
 
jiandae kwa mahari iliyoshiba ,,,sio hela mifugo etc,pia ni wanawake wenye heshima sana kwa waume wao
 
Wanawake wanaojua kuheshimu mwanaume na kaka yako akitaka kumla huwa hawakatai ni.hadith tu....
 
wale wa 1970--------1995.wengi wame keketwaaa.huwaga hawajui utamu wa dushelele.ndo maana ukimuowa uwakika wa kuchapiwa ni mdogo maana haoni utamu,pia ni matrekata wazuri...aka misukule ukitaka kula kilaini owa mredii.atafanya kazi zote,atalima,ataenda kuuza maparachichi jioni akirudi na mkate na sukari na akifika nyumbani anakupa hela ya dadiii teteteh.uwakika wa kupata kiwanja njenjee ila mashemeji kukukata mapanga kawaida.uchawi wa logwaruu muhimi.ukiowa masai aka mwarausha kujaa wanandugu kawaida
 
Ulipoanza tu hivi........kuna rafiki yangu kipenzi.........imenibidi nipite 👉👉👉👉👉......
 
Kuna kawimbo nilikasikia kipindi niko mdogo.

"Ukitaka bibii mweema, umuoee masai,
Sikio moja nyumbani, lingine lachunga ng'ombe'
 
wananukia ki ng'ombe ng'ombe muda wote hata kama hufugi ng'ombe, sasa jiulize anatoa wapi hyo harufu.....😛layball:
 
wananukia ki ng'ombe ng'ombe muda wote hata kama hufugi ng'ombe, sasa jiulize anatoa wapi hyo harufu.....😛layball:

wanapaka samli mbichi mwilini,kuna mmoja nlisoma nae boarding akawa hataki kuvaa uniform anavaa mgolole yule vituko sana.
Siku akatoroka na mgolole wake sijui aliendaga wapi
 
wanapaka samli mbichi mwilini,kuna mmoja nlisoma nae boarding akawa hataki kuvaa uniform anavaa mgolole yule vituko sana.
Siku akatoroka na mgolole wake sijui aliendaga wapi
hahahahhahaahah!!! umenchekesha sana, eti mgolole....!! ndo nini hyo? au ndo yale mashuka yao? huyo itakua alienda kuchunga ng'ombe mana wamasai weng hawapendi kusoma sijui kwann
 
We kimburukutu hebu inama uvunguni kwako halafu jinuse mbunye uone kama haitoi uvundo kama kijasho cha beberu...

Wakati mwingine haina haja ya kuweka posts za kishenzi kama huna cha kuandika...

wananukia ki ng'ombe ng'ombe muda wote hata kama hufugi ng'ombe, sasa jiulize anatoa wapi hyo harufu.....😛layball:
 
Hutoza mahari kubwa sana huko masaini...

Pia ni wanawake wenye adabu ingawaje hawapendi sana kutibuliwa...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom