Sasa mabinti chuoni si wameenda kusoma na kutombwa au wewe ulifikiria wameenda kusoma tu huku chini hapigishwi mswaki unataka paendelee kunuka uvundo?Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.
Mkuu hii haipongwi usioe asiye bikiraNdio maana Nikifa MkeWangu Asiolewe anataka muoe bikra, ila Jadda anadai hamjiamini, mnalalamika sana.
ItabidiNenda vyuoni
Ukishaanza kupanga watu waoe vipi, hawa sijui wanafanywa sana vyuoni, ushajipa umuhimu katika maisha ya watu baki wasiokuhusu.Wapi nimeandika najipa umuhimu
nchi ipi hio mkuu.Shika hamsini zako.
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.
Nchi ina watu milioni sabini hii. Usijipe umuhimu saaana.
HahaSamahani mkuu!!!
Shahada ya masomo unayosomea masomo yake yanahusisha pia na uchunguzi wa hao mabinti "wanaochapika vyuoni" ....??
Kwani wewe unafikiri nchi inayoongelewa hapa ni ipi?nchi ipi hio mkuu.
Pole!Wakuu habari.
Leo nimekaa nikafikiria hili suala sana kuhusu kuoa hasa msomi na mambo ninayoshuhudia vyuoni ni noma na nusu tangu nipo diploma mpaka leo napiga bachelor kwakweli mambo yanasikitisha sana wazee.
Mabinti kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza wanahama tu magheto ya wana. Binti huyu baada ya muda atahitimu atakutakana na kijana mwingine smart mtulivu ataolewa nae hapo ndo kijana yule hakuna rangi ataacha kuona.
Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.
NB:Sio chuki ni mawazo tu na sio wote
Sijuagi kwanini mnapenda sana hii mentality, nilikua naona km vile una hoja, ila hapa nadiriki kusema acha kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.Hapana ila mimi pia nina dada na pia M/Mungu atanijalia watoto wa kike huko baadae.
#Chizi anachekesha kama sio ndugu yako vile vile mwanamke anayevaa na kutembeza kitumbua hovyo anafurahisha kama sio mama yako wala dada yako.
Hujanikwaza ila nimekupuuzaSijuagi kwanini mnapenda sana hii mentality, nilikua naona km vile una hoja, ila hapa nadiriki kusema acha kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.
Mama, dada, ndugu zako wa kike, kaa nao huko kwenu na uwaambie hayo uyatakayo, ili waya epuke.
Sio unakuja hapa kutoa hizi njegeka zako? Nani hajui hilo? Au wee ndo wa kwanza kupita huko chuoni? Na uta paacha pia,
Sorry km nimekukwaza, πππππ
Chuo ni kawaida kuishi unyumba tena demu anafanya majukumu kama mke kabisa kufua kupika na kupiga pasi nguo za jamaa yake π€£π€£ afu na usikute unapewa penzi kila siku asee chuo raha sana jmn
Mkuu hapo mwanaume ana kosa gani wakati anatumia pesa yake kumhudumia huyo mwanamke?Wakuu habari.
Leo nimekaa nikafikiria hili suala sana kuhusu kuoa hasa msomi na mambo ninayoshuhudia vyuoni ni noma na nusu tangu nipo diploma mpaka leo napiga bachelor kwakweli mambo yanasikitisha sana wazee.
Mabinti kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza wanahama tu magheto ya wana. Binti huyu baada ya muda atahitimu atakutakana na kijana mwingine smart mtulivu ataolewa nae hapo ndo kijana yule hakuna rangi ataacha kuona.
Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.
NB:Sio chuki ni mawazo tu na sio wote
Nimekuuliza tena wapi nimejipa umuhimu? Au kiranga kama jina lako mkuu?Ukishaanza kupanga watu waoe vipi, hawa sijui wanafanywa sana vyuoni, ushajipa umuhimu katika maisha ya watu baki wasiokuhusu.
Watu wameamua kuishi hivyo. Hawajavunja sheria. Hawajakupunguzia kitu.Hiyo ni haki yao ya kikatiba na kibinadamu. Watu hawa hawakuhusu. Unajipa umuhimu usio nao katika maisha yao.
Huelewi wapi?
Ila ujumbe umekufikia, toshaa sanaa.Hujanikwaza ila nimekupuuza
Kama una dada na unaona umuhimu wa mambo haya kwa dada yako, mshauri kwenu.Hapana ila mimi pia nina dada na pia M/Mungu atanijalia watoto wa kike huko baadae.
#Chizi anachekesha kama sio ndugu yako vile vile mwanamke anayevaa na kutembeza kitumbua hovyo anafurahisha kama sio mama yako wala dada yako.