Mabinti vyuoni wanachapika sio masihara

Mabinti vyuoni wanachapika sio masihara

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
8,519
Reaction score
17,175
Wakuu habari.

Leo nimekaa nikafikiria hili suala sana kuhusu kuoa hasa msomi na mambo ninayoshuhudia vyuoni ni noma na nusu tangu nipo diploma mpaka leo napiga bachelor kwakweli mambo yanasikitisha sana wazee.

Mabinti kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza wanahama tu magheto ya wana. Binti huyu baada ya muda atahitimu atakutakana na kijana mwingine smart mtulivu ataolewa nae hapo ndo kijana yule hakuna rangi ataacha kuona.

Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.

NB:Sio chuki ni mawazo tu na sio wote
 
Wakuu habari.

Leo nimekaa nikafikiria hili suala sana kuhusu kuoa hasa msomi na mambo ninayoshuhudia vyuoni ni noma na nusu tangu nipo diploma mpaka leo napiga bachelor kwakweli mambo yanasikitisha sana wazee.

Mabinti kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza wanahama tu magheto ya wana. Binti huyu baada ya muda atahitimu atakutakana na kijana mwingine smart mtulivu ataolewa nae hapo ndo kijana yule hakuna rangi ataacha kuona.

Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.

NB:Sio chuki ni mawazo tu na sio wote
Shika hamsini zako.

Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Nchi ina watu milioni sabini hii. Usijipe umuhimu saaana.
 
Samahani mkuu!!!
Shahada ya masomo unayosomea masomo yake yanahusisha pia na uchunguzi wa hao mabinti "wanaochapika vyuoni" ....??
Hapana ila mimi pia nina dada na pia M/Mungu atanijalia watoto wa kike huko baadae.

#Chizi anachekesha kama sio ndugu yako vile vile mwanamke anayevaa na kutembeza kitumbua hovyo anafurahisha kama sio mama yako wala dada yako.
 
Hapana ila mimi pia nina dada na pia M/Mungu atanijalia watoto wa kike huko baadae.

#Chizi anachekesha kama sio ndugu yako vile vile mwanamke anayevaa na kutembeza kitumbua hovyo anafurahisha kama sio mama yako wala dada yako.
Basi sawa mkuu...... asante kwa kujali kizazi cha sasa na kile kijacho!!!

20250830_120708.jpg
 
Back
Top Bottom