Wanawake wanajua wanachotaka ila wengi ni wazito kusema wanataka nini kwa wapenzi wao. Hata wale wepesi wa kusema huwa wengi hawaridhiki na wanachopewa.
Mfano mwanamke anaweza akawa amechoka na shida ya usafiri akataka anunuliwe japo kivitz ila utakuta ni ngumu kumwambia mpenz wake hali ya kuwa anajua mpenz wake ana uwezo wa kumnunulia. Ikitokea njemba ya pembeni amenunua bila kuombwa unakuta anaanza kuhamisha upendo kwa njemba kidogo kidogo.
Mwingine anaweza akapewa kivitz akatamani angepewa range kabisa.
Pia tunapowalalamikia wanaume tunapenda mtuoneshe huruma ila wanaume mnapolalamikiwa mnapenda kutatua tatizo bila kuonesha huruma au kuonesha kuwa unafeel vile mpenzi wako anajifeel.
Mfano, mwanamke anakupigia simu anakwambia anaumwa. Wanaume wengi huuliza unaumwa nini?, umeenda hospitali? Akijibiwa sijaenda utasikia nakupitia hapo au nakutumia mtu aje akuchukue akupeleke hospitali.
Wanawake wengi huwa tunatarajia kauli tofauti kabla ya hiyo ambayo hutupa relief. Mfano "pole mpenzi wangu, au ni uchovu tu, unaumwa sana baby wangu?, jaribu kupumzika kidogo nitakupigia baadae kidogo nione unaendeleaje. Pole mamii yaani hadi na mimi nimekosa raha."
hizo sentesi zinaonesha namna gani ulivyoguswa na tatizo, sio lazima useme kama zilivyo ila katika hatua ya awali onesha namna ulivyoguswa halafu ndio ukimbilie kusolve tatizo.
Ni hayo tu kwa sasa.
Niliiona hii mahali nikaipenda ' just love a woman never try to understand her, for man just understand him never love him' Unajua we are ver ver different creatures hatufanani hata chembe ndo maana hakuna kitu kinaitwa usawa wa jinsia, kila gender iko unique kivyake. Yaani baada ya breakups nyingi nowdayz sijijui nataka nn hasa in man! angalau nina moja baada ya kufuta list yangu ya 100 points I want from a man nayo ni VALUES, period natafuta nyingine from experience n maoni ya watu, ila CASH inaweza ingia lakini c no 2! lol
nafikiri hujasoma hadi mwisho. Soma ile paragraph ninayoelezea wanaume msikimbilie kusolve problems. Hakuna sehemu inayohusisha pesa pale.Husninyo nimesoma maelezo yako,mifano uliyotoa imeegemea sana kwenye mapenzi ya vitu,ambayo ni mapenzi ya kijinga zaidi na hayana muda kwani vitu thamani yake ni ya muda mfupi na utataka zaidi,ukipewa hiki utataka kile,ukiridhishwa kimapenzi utataka upande ndege,akipatikana atakaekupandisha ndege,unakinai utataka mwenye nyumba kando ya bahari,ukikinai utataka ukaishi ulaya yaani ni full matatizo!
good analysiss but what are the LIMITS?
Wanawake wanajua wanachotaka ila wengi ni wazito kusema wanataka nini kwa wapenzi wao. Hata wale wepesi wa kusema huwa wengi hawaridhiki na wanachopewa.
Mfano mwanamke anaweza akawa amechoka na shida ya usafiri akataka anunuliwe japo kivitz ila utakuta ni ngumu kumwambia mpenz wake hali ya kuwa anajua mpenz wake ana uwezo wa kumnunulia. Ikitokea njemba ya pembeni amenunua bila kuombwa unakuta anaanza kuhamisha upendo kwa njemba kidogo kidogo.
Mwingine anaweza akapewa kivitz akatamani angepewa range kabisa.
Pia tunapowalalamikia wanaume tunapenda mtuoneshe huruma ila wanaume mnapolalamikiwa mnapenda kutatua tatizo bila kuonesha huruma au kuonesha kuwa unafeel vile mpenzi wako anajifeel.
Mfano, mwanamke anakupigia simu anakwambia anaumwa. Wanaume wengi huuliza unaumwa nini?, umeenda hospitali? Akijibiwa sijaenda utasikia nakupitia hapo au nakutumia mtu aje akuchukue akupeleke hospitali.
Wanawake wengi huwa tunatarajia kauli tofauti kabla ya hiyo ambayo hutupa relief. Mfano "pole mpenzi wangu, au ni uchovu tu, unaumwa sana baby wangu?, jaribu kupumzika kidogo nitakupigia baadae kidogo nione unaendeleaje. Pole mamii yaani hadi na mimi nimekosa raha."
hizo sentesi zinaonesha namna gani ulivyoguswa na tatizo, sio lazima useme kama zilivyo ila katika hatua ya awali onesha namna ulivyoguswa halafu ndio ukimbilie kusolve tatizo.
Ni hayo tu kwa sasa.
mimi nahitaji upendo tu basi! Changamoto inakuja, ni ngumu kumjua nani mwenye upendo wa dhati.
Huyo alikuwa hajakupenda. Lazima upendo uwepo pande zote mbili.Ni rahisi kusema hivyo,nina ushahidi wa mimi mwenyewe nilimpa upendo wa dhati dada mmoja hivi mwaka 2004 matokeo yake akanidharau!Ndo maana siwaelewi mnachotaka!
Hujui Karen ndo maana unasema hivyo,ila mwanzo haikuwa hivyo mambo yalibadilika baada ya nilipozidisha kucare,nilifanya hivyo kutokana kumjali nae alikuwa ananijali wakati huo!Huyo alikuwa hajakupenda. Lazima upendo uwepo pande zote mbili.
Hujui Karen ndo maana unasema hivyo,ila mwanzo haikuwa hivyo mambo yalibadilika baada ya nilipozidisha kucare,nilifanya hivyo kutokana kumjali nae alikuwa ananijali wakati huo!
ni kweli wengi hawajui,wanaingia kwenye mapnz kufanya majaribio ya maisha pia wana taka maisha yaende straight s'thing which z impocbo in lyf...co wavumilivu,they dnt knw hw to bear with their men,hw to satisfy them,hw to serve them,hw to stand 4 their relationships,hw to tek care of their men etc....n they blv break up ni fasheni au ni solution ya their problems....wanaish kimovie zaid
<br />Braza ndo maana maandiko yakasema tuishi nao kwa akili mana namna Mungu alivyowatengeneza ni tofauti na namna alitutengeneza sisi. Naungana na Mkuu Safety Last kwamba cc wanaume tujipende kwanza, kwa sababu mwanamke mahitaji yanabadilika kila mara hivyo huwezi ukasema umempa gari ndo atatulia. Kuna jamaa yangu huwa anasema wanawake maksi zao ni moja kwa kila mwanaume akimaanisha wewe ukimwambia maneno matamu akacheka anaweza kukupa mzigo ukachapa, akaja mwingine akampa gari naye akachapa. yani in short needs zao zina vary kila wakati so ili uwe kwenye safe side ni kukubali lolote muda wowote na wala usipanic mana ndivyo walivyo. La mwisho kabisa uwe unamshirikisha Mungu kwenye mahusiano yako na hawa viumbe mana yeye ndiye anayetujua zaidi ya jinsi tunavyojifahamu sisi.
Wanawake wanajua wanachotaka ila wengi ni wazito kusema wanataka nini kwa wapenzi wao. Hata wale wepesi wa kusema huwa wengi hawaridhiki na wanachopewa.<br />
Mfano mwanamke anaweza akawa amechoka na shida ya usafiri akataka anunuliwe japo kivitz ila utakuta ni ngumu kumwambia mpenz wake hali ya kuwa anajua mpenz wake ana uwezo wa kumnunulia. Ikitokea njemba ya pembeni amenunua bila kuombwa unakuta anaanza kuhamisha upendo kwa njemba kidogo kidogo.<br />
Mwingine anaweza akapewa kivitz akatamani angepewa range kabisa. <br />
Pia tunapowalalamikia wanaume tunapenda mtuoneshe huruma ila wanaume mnapolalamikiwa mnapenda kutatua tatizo bila kuonesha huruma au kuonesha kuwa unafeel vile mpenzi wako anajifeel.<br />
Mfano, mwanamke anakupigia simu anakwambia anaumwa. Wanaume wengi huuliza unaumwa nini?, umeenda hospitali? Akijibiwa sijaenda utasikia nakupitia hapo au nakutumia mtu aje akuchukue akupeleke hospitali.<br />
Wanawake wengi huwa tunatarajia kauli tofauti kabla ya hiyo ambayo hutupa relief. Mfano "pole mpenzi wangu, au ni uchovu tu, unaumwa sana baby wangu?, jaribu kupumzika kidogo nitakupigia baadae kidogo nione unaendeleaje. Pole mamii yaani hadi na mimi nimekosa raha." <br />
hizo sentesi zinaonesha namna gani ulivyoguswa na tatizo, sio lazima useme kama zilivyo ila katika hatua ya awali onesha namna ulivyoguswa halafu ndio ukimbilie kusolve tatizo.
Hakika,sikiliza,show concern then Resolve!!!
<br />