Mabint wa kimarangu

Mabint wa kimarangu

Mkuu usiumeume maneno! huko ndo kupenda pesa kwenyewe! Si dhambi kupenda pesa! Lazima kupambana kuinua uchumi!

tafuta pesa chaliii acha kujitetea wewe... wenye pesa ndo wanaoheshimika acha kulia njaaaaaa .... unataka tusitake pesa ?
 
nakukaribisha uje ujioneo mwenyewe tatzo c maisha mazuri tatzo wanalike money kupitiliza

loh kijana tafuta pesa kwanza huna hela wewe unaongea tu hela huwa azitoshi lazima kila siku zitafutwe chaliii.... na kama umeweka kwenye accont ya benki haipo kwenye mzunguko hiyo siyo pesa kwa sababu haijizalishi chezea
 
Mwanangu Mademu wa marangu ni wachacharikaji na wana mapenzi kwa waume zao,ila kasoro yao huwezi kusema ni wako moja kwa moja lazima umegewe nje tu.
 
loh kijana tafuta pesa kwanza huna hela wewe unaongea tu hela huwa azitoshi lazima kila siku zitafutwe chaliii.... na kama umeweka kwenye accont ya benki haipo kwenye mzunguko hiyo siyo pesa kwa sababu haijizalishi chezea

Nyi chaloi mbatu yekye kumbo?
 
jamani naomben kuuliza.kwnn wanawake wamarangu wanapenda pesa kulko mapenzi ya dhati,utamkuta mwanamke wakimarangu mume hakiishiwa 2 mke anakuwa ana heshima baada ya mda anakuacha.ila ukipata 2 anarudi jaman cwaelewi ni wanawake wa aina gani?.Kingne ukioa mmarangu ucpokuwa makin unafilicka kabsa yani nitabu.jaman hawa wakiendlea hvyo watkuwa ni wakumika na c
wakuoa kabsa katka dunia hii ya leo.Ila wanawake punguzeni kupenda hela na ndo maana matatzo ya kifamalia inaongezka kila cku kuliko kupungua.Jaman 2washauri wanawke wa kimarangu na
wanawake penda pesa wabdilike

Sasa ww nakusaidia..
Hii ni formula ya kumpata na kudumu na msichana yeyote,fanya mambo 5
1.Toa pesa
2.Toa pesa
3.Nakwambia toa pesa
4.Husikii toa pesa
5.Mpe tuu pesa,

Hakika utaishi kwa raha dunian,
 
.Mada yoyote iwahusuyo wachaga lazima iwe na mapingamizi makubwa labda tu iwe ya kuwasifu.
Mtoa mada kaiwakilisha lakin inamapungufu sana ingawa bado ujumbe wake si wakuupotezea.
Ukisoma kwa kina utajua mambo makuu ni pesa(na kufilisika) na mapenzi.

Pitia comments hapa utaona issue ya pesa imepewa msisitizo.na kusahaulika issue ya kufilisika na comment hakuna.yale mambo yetu yale ya "mizimu" yana nafasi kubwa ktk ufilisi wa mali.unakuta baadaya kuoa mchaga unakuwa mtu wa mikosi tu.mara kazi umefukuzwa mara biashara imesimama yaaan!

Kwenye mapenzi,utakuwa na thaman saaaana kwa mchaga kama utakuwa unapeleka pesa nyingi nyumbani na haijalishi zimetoka wapi;umepokea rushwa,umetoa kafara, umeiba,umedhulumu au umeinamishwa na mwanaume mwenzio yote sawa tu we peleka pesa tu.mapenzi ya ukweli hakuna kwani yameegemea ktk kipato,cheo,mali.ukitokea umefukuzwa kazi au umefilisika basi hata upendo unafilisika sawia.
"maisha ni kupanda na kushuka"hii ni kanuni ya asili.hakuna mwenye guarantee ya kuwa na pesa daima
 
Wavulana wa siku hizi aisee,hapo umehonga 100k tu unalia kama nini?
..tafuta pesa wewe nani asiependa ela labda?
Jawilat unajua enzi ya kugeneralise mambo imepitwa na wakati sana...siku hizi hakuna cha mmarangu, mmachame, ------, myao, mngoni, msukuma, mhaya au muha .....kila mmoja ana tabia ya peke yake ambayo haiwezi kuchukuliwa kiujumla

uvivu au uchakarikaji mwisho wa siku ni tabia ya mtu binafsi kabila pembeni, likewise tabia nyingine

So, hata miye nashangaa watu ambao hadi leo kwa sababu zisizo na mashiko badio wanaelezea watu wa kabila jengine kiujumla jumla tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom