Mabint wa kimarangu

Mabint wa kimarangu

hela inazika mtu ndiyo maana kukitokea msiba lazima daftari la mchango lipitishwe, unadhani sanda na jeneza utanunulia kwa mapenzi tu bila hela?.

kama hela inazika mtu kwnn watu wanaenda kwenye misiba wasitume hela ikazike bla watu kwenda.Inaonekana bdo unamawazo madogo sana.Fikiri kabda ya kutoa maoni yako,nazan utakuwa umeelewa
 
kama hela inazika mtu kwnn watu wanaenda kwenye misiba wasitume hela ikazike bla watu kwenda.Inaonekana bdo unamawazo madogo sana.Fikiri kabda ya kutoa maoni yako,nazan utakuwa umeelewa

We endelea kujifariji, utaibiwa mkeo kila siku. imeandikwa mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. kwahiyo kazi ya mwanamke tangu awali ni kuzaa tu na wewe ufanye kazi kwa ajili ya mkeo na familia yako.
 
Acheni uzuzu, demu mpenda hela mega then tembea. Unakaa nae wa nini wakati mzazi wako analia njaa kijiji? Wewe ulipokuwa unasomeshwa na mzazi yeye alikuwa anafundishwa kuchuna nini? Wapo mademu kibao wasiomind mkwanja.
hapo ni kweli uwezi oa mtu mpenda pesa katka ndoa kulko mapenzi.
 
Hakuna mwanamke asiyependa hela bana. Wee kamua job upate hela, matumizi yake ndo hayo kumfurahisha mwanamke

swali kama hakuna kwann wanawake wa nchi za wenzetu wa namapesa ila wanaolewa kwa mda 2 awadumu katka ndoa zao
 
Sasa mbona ushajijibu! Kusema wana mapesa si maana yake wanazipenda? Namna ya kuzipata haikuwa hoja ya msingi kwangu.
 
swali kama hakuna kwann wanawake wa nchi za wenzetu wa namapesa ila wanaolewa kwa mda 2 awadumu katka ndoa zao
Sasa mbona ushajijibu! Kusema wana mapesa si maana yake wanazipenda? Namna ya kuzipata haikuwa hoja ya msingi kwangu.
 
hakuna kitu kama icho wajameni maaana naona munawahukumu bure wasiohusika amekosa mmoja ndo muwaseme mkoa mzima mmmmmh we mtoa mada ujitambui mimi wakwangu apendi pesa kama unavosema ila anapenda nitafute kwa ajili ya kwangu na yake yaaani ipo ivi pesa kwaa wanaume ni lazima tutafute kwa njia yeyote ile ispokuwa ku.......flw
\
 
Wavulana wa siku hizi aisee,hapo umehonga 100k tu unalia kama nini?
..tafuta pesa wewe nani asiependa ela labda?
 
Mungu haimpi mjawake kila kitu,anakupa hiki anakunyika kile.anazidisha sehemu flan na anapunguza sehemu nyingine.hatujakamilika kama binadamu~ukikubali sawa ukikataa sawa

Wanawake wa kimarangu kama walivyo wanawake wa kichaga.wana akili sana ya kutafuta maisha.na kama unataka maendeleo nenda oa kule.Muumba aliwajalia sana eneo hili.
Mapenzi ndio sehemu pekee inayounganisha jinsia ya kike na kiume(sitarajii kukataa ktk hili).hivyo hata kama unapesa kama mchanga wa bahari,warithi wa mali zako watapatikana kupitia mapenzi,huu ni ukweli pia.wanawake wa kichaga ktk mapenzi wanamapungufu (hata wao wanajua) na sio kwamba tunagenaralize,ni kweli.hapa mungu kawapunguzia.mungu angewapa kila kitu hawa watu wangejiona ni zaidi ya watu(si unajua ni watu wa majivuno na dharau)
 
Jamani tuacheni stereotypes hizi. Mimi nawajua mabinti wa huko zaidi ya mmoja wako fresh tu, wachakalikaji.

Tena mmoja alikuwa hajaridhika na kazi ya mumewe, mumewe akawa yuko poa tu, binti ndio ikawa kama kazi yake kutuma ma application, mpaka jamaa kaitwa kwenye interview kapiga mzigo akawa anachukua usawa karibu mara tatu wa awali.

Sasa binti kama huyu mpenda maendeleo na mchakalikaji, anajua hata kumsaidia mumewe kama mumewe hachangamki, unaweza kumsema vibaya kweli?

Halafu mtoto ana heshima zake zote kitu ambacho ni nadra sana kupata siku hizi.

Sasa nikimkumbuka huyu binti halafu nikisikia watu wana generalize mambo kama hivi, najisikia vibaya sana.

Watu hawako monolithic kufuatana na makabila yao, na habari yoyote inayo generalize tabia za watu kwa makabila inabidi angalau iwe qualified zaidi.
kwel mkuu sio vizuri kugeralize kitu ulichokiona kwa mtu mmoja, kumbuka we think in generality but we live in detail
 
Wewe mmekubaliana vizuri sasa unalalamika nini? mpe pesa ulimhaidi mwenyewe kwa utashi wako umepewa mapenzi unalalamika kwanini usingekataa hapo kabla.

jamani naomben kuuliza.kwnn wanawake wamarangu wanapenda pesa kulko mapenzi ya dhati,utamkuta mwanamke wakimarangu mume hakiishiwa 2 mke anakuwa ana heshima baada ya mda anakuacha.ila ukipata 2 anarudi jaman cwaelewi ni wanawake wa aina gani?.Kingne ukioa mmarangu ucpokuwa makin unafilicka kabsa yani nitabu.jaman hawa wakiendlea hvyo watkuwa ni wakumika na c
wakuoa kabsa katka dunia hii ya leo.Ila wanawake punguzeni kupenda hela na ndo maana matatzo ya kifamalia inaongezka kila cku kuliko kupungua.Jaman 2washauri wanawke wa kimarangu na
wanawake penda pesa wabdilike
 
Nimekupenda bure kabisa Kiranga, kuna watu wanapenda ku generalize kosa la mtu mmoja na tabia ya mtu mmoja na kuhusisha mkoa wote aliotokea huyo mkosa wake, hii tabia si nzuri kabisa!

Kupenda pesa si kosa! Kwani yupo mwanaume ambaye hapendi pesa! Sasa inakuwaje mwanamke akipenda pesa ni kosa?
Kwani pesa ni sumu mpaka wanawake waichukie? Umaskini wetu na uchumi duni ndio unaotusababisha tuwe na negative attitudes towards mpenda pesa yeyote, as hatuwezi ku afford!
Kingasti kasema tafuta hela uwe nazo ndipo uone kama utakereka na mwanamke anayependa pesa!
 
Last edited by a moderator:
Kiranga cjasema wote ila wengi wao wako hivyo na huwa weng huwazidi wachache nazani umeelewa sasa
Kiranga kakueleza ukweli mtupu
huwezi oa Mmarangu achana naye
Ukiwa mvivu na kushinda Vijiweni huwezi kaa na Mmarangu
Ukiwa huwezi tunza fedha na kujiwekea akiba zako kwa maisha ya baadaye Huwezi ishi na Mmarangu
Kutokana na Mendeleo ya Kijiji chao kuwa Mji mdogo ni vigumu kukupeleka wewe km sio sharp
Pesa ndio Mapenzi kwao
Na mapenzi yao ni lazima yaanzie na starehe baada ya kilagi sio km makabila mengine km yetu kwanza NGOMA ya CHAGULAGA au MPHAGUZI ya Kigogo kuviziana kwenye matembe
Sorry jamaa yangu Wamarangu huwawezi usisiskitike sana achana NAO
 
Last edited by a moderator:
pesa ni muhimu kuliko mapenzi ukishakuwa na pesa mapenzi yatakuja tuu, we kama umetokea lindi, tanga, mtwara, tabora, pwani alafu unatarajia kumuo mchaga utegeemee atakaa hapo ndani wakati tabia zenu ni tofauti sanaaa hapo utalia, wamarangu ni wachacharikaji wanatakuwa kumiliki sio kumilikiwa
 
Jamani tuacheni stereotypes hizi. Mimi nawajua mabinti wa huko zaidi ya mmoja wako fresh tu, wachakalikaji.

Tena mmoja alikuwa hajaridhika na kazi ya mumewe, mumewe akawa yuko poa tu, binti ndio ikawa kama kazi yake kutuma ma application, mpaka jamaa kaitwa kwenye interview kapiga mzigo akawa anachukua usawa karibu mara tatu wa awali.

Sasa binti kama huyu mpenda maendeleo na mchakalikaji, anajua hata kumsaidia mumewe kama mumewe hachangamki, unaweza kumsema vibaya kweli?

Halafu mtoto ana heshima zake zote kitu ambacho ni nadra sana kupata siku hizi.

Sasa nikimkumbuka huyu binti halafu nikisikia watu wana generalize mambo kama hivi, najisikia vibaya sana.

Watu hawako monolithic kufuatana na makabila yao, na habari yoyote inayo generalize tabia za watu kwa makabila inabidi angalau iwe qualified zaidi.
Kiranga heri ya mwaka mpya ! waambie hawa wandugu ''there is great difference between fantasy and reality''
 
Last edited by a moderator:
Nataka manka wa kichaga jioni ikifika anasema meku umeingiza shi ngapi sitak watanga watantia umaskini mie
 
Ngoja, mim nmempata mmarangu mmoja hvi npo nae natafit!

nkimalza utafit ntarud na report, vuten subira kidogo!
 
Back
Top Bottom