Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Wazee wa chama waliposema Mkapa aendelee 2000 kwani kulitokea mtu wa kumpinga? Au hamna hata kumbukumbu nini kilitokea kabla ya uchaguzi wa 2000 ndani ya CCM?
Naamini haya maneno yanaenezwa na watu ambao hawajui CCM inavyofanya mambo yake au magazeti ambayo yanataka kuuza habari.
Kwa kumbukumbu zangu, Mama Getrudi Mongera alitangaza nia ya kugombea mapema kabla hata kipyenga hakijapulizwa. Ila nafikiri wazee wa chama walimweka sawa kumpisha mheshimiwa. Maana hakurudia tena wala kuonyesha kung'ang'ania kama alivyofanya mzeji (Bilal) 2005 kwa Karume
Last edited: