min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 9,834
- 21,896
Mkuu kama bado unaogopa kufa na unatamni kwenda mbinguni ni bora uboreshe mahudhurio yako ,kwa sababu kujitambua ni njia ngumu kuliko kuokoka 😁😁😁Mi ibada hua nashiriki mara moja moja ili nsitengwe sana na jamii ila kwa kwel hamna nachopata cha maaana