Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kwasasa Wapo Motoni au peponi?

Uislam: Anaepaswa kuabudiwa kwa haki ni mmoja tu ambae ni Allah.
Hajazaa wala hajazaliwa na wala hafanani na kitu chochote!
Muhammad (SAW) ni mjumbe wake!

Yoyote yule ambae anakwenda kinyume na hayo (Asie yaamini hayo) huyo ni KAFIRI.

NB: Pia fahamu kwamba uislamu ulikuwepo tangu Adam (AS).

PIA: Nakushauri ukiwa una swali lolote kuhusu UISLAM tafuta mtu mwenye elimu akuelimishe kwa undani zaidi!

Usiridhike na majibu ya wadau wa JamiiForums. Uislam sio dini ya mchezo mchezo na wala sio jambo la mzaha mzaha! Ni dini iliyo jitosheleza.

KUMBUKA: Yoyote yule asie amini UISLAM, huyo ni KAFIRI.

Kumradhi.
Thibitisha uislam uliokuwepo kabla ya adam
 
Je Kula nguruwe utajuaje ni dhambi hukuambiwa na Waislam?
Swali zuri kabisa , Ni kweli dhambi huwezi kuijua bila ya dini maana dhambi Ni asichokiridhia mola hvyo ndo kukawepo dini ili ktuongoza mola anataka Nini na hataki Nini.
Kwanini hakuna taarifa yoyote ya kihistoria inayotaja uislamu kabla ya ujio wa Muhammad. Hata uarabuni penyewe waliishi wapagani na miungu yao e.g. Hubal, Al-Uzza, Manat

Kina Musa, Ibrahimu, daudi msiwaibe walikuwa Jewish na walifata sheria za Yahweh mungu wa waisraeli na alikuwa na taratibu tofauti na Allah.

Kwa hiyo kuhusu uislamu kuwepo toka mwanzo wa Dunia sio kweli
Wewe ndo husomi tuu ndo maana hujui .
Iko hivi rafiki kabla ya Muhammad ulipita mda mrefu sanaa hakukuwa na mtume baada ya kuondoka yesu hivyo kihistoria Ibrahim alipojenga al-kaaba aliacha athari ya dini yake Yani kuabudu mungu mmoja Mana Ibrahim alkuwa haabudu masanamu Wala chochote kile ispokuwa mungu mmoja ,kutokana na kupita mda mrefu bila ya mtume ndo maana watu walianza kuabudu miungu na wakasahau ibada za mungu mmoja.
Ma unaposema Ibrahim na daudi walikuwa Jewish Ni urongo mtupu na hta Musa hakuacha ujewish Bali aliacha taurat na Sheria alizopewa na mola na hautambui ujewish Bali wafuas wake ndo walijiita hivyo.
Ibrahim na daudi na yoyote Yule kabla ya kuzaliwa Musa hawakuwa Jew Mana ukisema hvy we Ni mjinga kabisaaa Mana Musa kazaliwa baada ya Ibrahim na hao mitume wengne weng so wote baad kufa na ilpta miaka mingi ,
Pili, Musa alitumwa kwa Banu -israiil(wana Israel(watoto wa yakobo)) ambaye huyu yaakobo (yaakub) Ni katika vijukuu vya Ibrahim mana Ibrahim alizaa Ismail na ishaka Kisha ndo yaakob akapatkana na kuptia yaakob akapatkana yusuph katka uzao wake Kisha katika hawa watoto wa yaakob ule uzao wake ndo alkuja kupatkana Musa ,sa utasemaje Musa ambaye kapewa taurat baada ya hao mitume ambao Ni Babu zake etii Ni wafuasi wake tena Yani Jew.
Use your common sense dear!!!

Kwanini hakuna taarifa yoyote ya kihistoria inayotaja uislamu kabla ya ujio wa Muhammad. Hata uarabuni penyewe waliishi wapagani na miungu yao e.g. Hubal, Al-Uzza, Manat

Kina Musa, Ibrahimu, daudi msiwaibe walikuwa Jewish na walifata sheria za Yahweh mungu wa waisraeli na alikuwa na taratibu tofauti na Allah.

Kwa hiyo kuhusu uislamu kuwepo toka mwanzo wa Dunia sio kweli
Uislamu ulikuwepo toka mwanzo wa dunia Ni kweli , uislamu maana yake Ni kijisalimisha kwa Allah ambaye ndo muumba wa kila kitu,anaendesha ulimwengun.k bila kumshirikisha katika ibada zake (mfano kuchinja(eg.kuchinja kwa ajili ya miti au mizimu au majini Ni shirk yaani umepeleka ibada kwa asiyestahiki Mana yeye kaumba ili aabudiwe ko umemnyima haki yake ),kuomba ,kutegemewa na kila Aina ya ibada Kama zilivyoainishwa katika uislamu.) Na kitu chochote , kwahyo hawa waliokuwepo kabla ya mtume Muhammad walikuwa Ni waislamu Ila haimaanishi wote waliswali Kama tunavyo swali sisi au walikuwa na Sheria Kama zetu Ila lengo kuu kilikuwa Ni moja kuabudu mola mmoja Ila unaweza kuwa katika mtindo tofauti kulingania na Zama na Aina ya watu mfano , Daudi alkuwa na zaburi na alikuwa ana Sheria tofaut na sis kabsa ,hvy hvy Musa , .
Ukilsikia eti walikuwa wote waislamu haimaanishi eti walikuwa Kama unavyotuona sisi Leo hvyo hvyo Bali lengo lao Ni moja Ila katika mitindo tofaut.
NB:kila watu walikuwa wakipelekewa mtume au nabii Kuna ambao walitakiwa wamuamini tuu ndo mtihani wao Wala hakuwa na kitabu au Sheria Bali wamuamini tuu na Kuna Ni manabii tu manake hawakupewa vitabu Bali vipande tu vya Sheria na mitume wampewa vitabu na miongozo kamili.
Mimi najiuliza tu...kama uislam ndio dini ya haki, ina maana wachina wote billion moja na ushee hawataingia mbinguni?
Mbona Mungu kawaumba wachina wengi hivi ilihali wanaenda kinyume na dini yake?
Haki haiiangiliwi kwa wingi watu mpendwa had watu wanaomtii mola huwa wachache hta sjui kwaninin.
Kweny Quran imeandikwa katika suratul qaaf kwamba tutaijaza jahannam kwa majini na watuu.
Mifano.
1.watu wa lutu waliuuwawa mji mzima kasoro familia yake ukiacha mke wake na watuu wachache tu waliomuamini.
2.mtume nuhu kulingania na sisi waislamu aliwahubiria watu wake miaka 1000 ispokuwa 50 yaan 950 ila alipata watu 80 tuu na hta mke wake ,mtoto wake hakumuamini kabisaaa , watu walikuwa wanakufa wanazaliwa yey yupo tuu .ukisoma suratul-at-tahariim Aya 10-12 ,utaona mke wa nuhu na luti Allah anawapgia mfano Yani walikuwA chini ya waja wema Yan waume zao na hawakuamini .kwahyo mpendwa Imani so mchezo .
3.uliza pia yesu alpata wNgapi???
Na Hili Ni zingatio kwa wale wanaoamini hawa wanaojiita manabii Zama hzi unabii so mchezo hawa Ni waongo hamna nabii aliwahi kupata wafuas kirahisi Wala kuishi kwa Raha walipitia madhila na taabu hawa wa miaka hii Ni wasakatonge warongooo!
Shame on you fake prophet.
 
Swali zuri kabisa , Ni kweli dhambi huwezi kuijua bila ya dini maana dhambi Ni asichokiridhia mola hvyo ndo kukawepo dini ili ktuongoza mola anataka Nini na hataki Nini.

Wewe ndo husomi tuu ndo maana hujui .
Iko hivi rafiki kabla ya Muhammad ulipita mda mrefu sanaa hakukuwa na mtume baada ya kuondoka yesu hivyo kihistoria Ibrahim alipojenga al-kaaba aliacha athari ya dini yake Yani kuabudu mungu mmoja Mana Ibrahim alkuwa haabudu masanamu Wala chochote kile ispokuwa mungu mmoja ,kutokana na kupita mda mrefu bila ya mtume ndo maana watu walianza kuabudu miungu na wakasahau ibada za mungu mmoja.
Ma unaposema Ibrahim na daudi walikuwa Jewish Ni urongo mtupu na hta Musa hakuacha ujewish Bali aliacha taurat na Sheria alizopewa na mola na hautambui ujewish Bali wafuas wake ndo walijiita hivyo.
Ibrahim na daudi na yoyote Yule kabla ya kuzaliwa Musa hawakuwa Jew Mana ukisema hvy we Ni mjinga kabisaaa Mana Musa kazaliwa baada ya Ibrahim na hao mitume wengne weng so wote baad kufa na ilpta miaka mingi ,
Pili, Musa alitumwa kwa Banu -israiil(wana Israel(watoto wa yakobo)) ambaye huyu yaakobo (yaakub) Ni katika vijukuu vya Ibrahim mana Ibrahim alizaa Ismail na ishaka Kisha ndo yaakob akapatkana na kuptia yaakob akapatkana yusuph katka uzao wake Kisha katika hawa watoto wa yaakob ule uzao wake ndo alkuja kupatkana Musa ,sa utasemaje Musa ambaye kapewa taurat baada ya hao mitume ambao Ni Babu zake etii Ni wafuasi wake tena Yani Jew.
Use your common sense dear!!!


Uislamu ulikuwepo toka mwanzo wa dunia Ni kweli , uislamu maana yake Ni kijisalimisha kwa Allah ambaye ndo muumba wa kila kitu,anaendesha ulimwengun.k bila kumshirikisha katika ibada zake (mfano kuchinja(eg.kuchinja kwa ajili ya miti au mizimu au majini Ni shirk yaani umepeleka ibada kwa asiyestahiki Mana yeye kaumba ili aabudiwe ko umemnyima haki yake ),kuomba ,kutegemewa na kila Aina ya ibada Kama zilivyoainishwa katika uislamu.) Na kitu chochote , kwahyo hawa waliokuwepo kabla ya mtume Muhammad walikuwa Ni waislamu Ila haimaanishi wote waliswali Kama tunavyo swali sisi au walikuwa na Sheria Kama zetu Ila lengo kuu kilikuwa Ni moja kuabudu mola mmoja Ila unaweza kuwa katika mtindo tofauti kulingania na Zama na Aina ya watu mfano , Daudi alkuwa na zaburi na alikuwa ana Sheria tofaut na sis kabsa ,hvy hvy Musa , .
Ukilsikia eti walikuwa wote waislamu haimaanishi eti walikuwa Kama unavyotuona sisi Leo hvyo hvyo Bali lengo lao Ni moja Ila katika mitindo tofaut.
NB:kila watu walikuwa wakipelekewa mtume au nabii Kuna ambao walitakiwa wamuamini tuu ndo mtihani wao Wala hakuwa na kitabu au Sheria Bali wamuamini tuu na Kuna Ni manabii tu manake hawakupewa vitabu Bali vipande tu vya Sheria na mitume wampewa vitabu na miongozo kamili.

Haki haiiangiliwi kwa wingi watu mpendwa had watu wanaomtii mola huwa wachache hta sjui kwaninin.
Kweny Quran imeandikwa katika suratul qaaf kwamba tutaijaza jahannam kwa majini na watuu.
Mifano.
1.watu wa lutu waliuuwawa mji mzima kasoro familia yake ukiacha mke wake na watuu wachache tu waliomuamini.
2.mtume nuhu kulingania na sisi waislamu aliwahubiria watu wake miaka 1000 ispokuwa 50 yaan 950 ila alipata watu 80 tuu na hta mke wake ,mtoto wake hakumuamini kabisaaa , watu walikuwa wanakufa wanazaliwa yey yupo tuu .ukisoma suratul-at-tahariim Aya 10-12 ,utaona mke wa nuhu na luti Allah anawapgia mfano Yani walikuwA chini ya waja wema Yan waume zao na hawakuamini .kwahyo mpendwa Imani so mchezo .
3.uliza pia yesu alpata wNgapi???
Na Hili Ni zingatio kwa wale wanaoamini hawa wanaojiita manabii Zama hzi unabii so mchezo hawa Ni waongo hamna nabii aliwahi kupata wafuas kirahisi Wala kuishi kwa Raha walipitia madhila na taabu hawa wa miaka hii Ni wasakatonge warongooo!
Shame on you fake prophet.
Hujui Historia kati ya Yesu na Mohammed ni miaka 600

Kati ya Yesu na Ibrahim ni miaka 3000

Ibrahim ndio Muebrainia muumini wa dini ya Kiyahudi wa kwanza
 
Je Kula nguruwe utajuaje ni dhambi hukuambiwa na Waislam?
Swali zuri kabisa , Ni kweli dhambi huwezi kuijua bila ya dini maana dhambi Ni asichokiridhia mola hvyo ndo kukawepo dini ili ktuongoza mola anataka Nini na hataki Nini.
Kwanini hakuna taarifa yoyote ya kihistoria inayotaja uislamu kabla ya ujio wa Muhammad. Hata uarabuni penyewe waliishi wapagani na miungu yao e.g. Hubal, Al-Uzza, Manat

Kina Musa, Ibrahimu, daudi msiwaibe walikuwa Jewish na walifata sheria za Yahweh mungu wa waisraeli na alikuwa na taratibu tofauti na Allah.

Kwa hiyo kuhusu uislamu kuwepo toka mwanzo wa Dunia sio kweli
Wewe ndo husomi tuu ndo maana hujui .
Iko hivi rafiki kabla ya Muhammad ulipita mda mrefu sanaa hakukuwa na mtume baada ya kuondoka yesu hivyo kihistoria Ibrahim alipojenga al-kaaba aliacha athari ya dini yake Yani kuabudu mungu mmoja Mana Ibrahim alkuwa haabudu masanamu Wala chochote kile ispokuwa mungu mmoja ,kutokana na kupita mda mrefu bila ya mtume ndo maana watu walianza kuabudu miungu na wakasahau ibada za mungu mmoja.
Ma unaposema Ibrahim na daudi walikuwa Jewish Ni urongo mtupu na hta Musa hakuacha ujewish Bali aliacha taurat na Sheria alizopewa na mola na hautambui ujewish Bali wafuas wake ndo walijiita hivyo.
Ibrahim na daudi na yoyote Yule kabla ya kuzaliwa Musa hawakuwa Jew Mana ukisema hvy we Ni mjinga kabisaaa Mana Musa kazaliwa baada ya Ibrahim na hao mitume wengne weng so wote baad kufa na ilpta miaka mingi ,
Pili, Musa alitumwa kwa Banu -israiil(wana Israel(watoto wa yakobo)) ambaye huyu yaakobo (yaakub) Ni katika vijukuu vya Ibrahim mana Ibrahim alizaa Ismail na ishaka Kisha ndo yaakob akapatkana na kuptia yaakob akapatkana yusuph katka uzao wake Kisha katika hawa watoto wa yaakob ule uzao wake ndo alkuja kupatkana Musa ,sa utasemaje Musa ambaye kapewa taurat baada ya hao mitume ambao Ni Babu zake etii Ni wafuasi wake tena Yani Jew.
Use your common sense dear!!!

Kwanini hakuna taarifa yoyote ya kihistoria inayotaja uislamu kabla ya ujio wa Muhammad. Hata uarabuni penyewe waliishi wapagani na miungu yao e.g. Hubal, Al-Uzza, Manat

Kina Musa, Ibrahimu, daudi msiwaibe walikuwa Jewish na walifata sheria za Yahweh mungu wa waisraeli na alikuwa na taratibu tofauti na Allah.

Kwa hiyo kuhusu uislamu kuwepo toka mwanzo wa Dunia sio kweli
Uislamu ulikuwepo toka mwanzo wa dunia Ni kweli , uislamu maana yake Ni kijisalimisha kwa Allah ambaye ndo muumba wa kila kitu,anaendesha ulimwengun.k bila kumshirikisha katika ibada zake (mfano kuchinja(eg.kuchinja kwa ajili ya miti au mizimu au majini Ni shirk yaani umepeleka ibada kwa asiyestahiki Mana yeye kaumba ili aabudiwe ko umemnyima haki yake ),kuomba ,kutegemewa na kila Aina ya ibada Kama zilivyoainishwa katika uislamu.) Na kitu chochote , kwahyo hawa waliokuwepo kabla ya mtume Muhammad walikuwa Ni waislamu Ila haimaanishi wote waliswali Kama tunavyo swali sisi au walikuwa na Sheria Kama zetu Ila lengo kuu kilikuwa Ni moja kuabudu mola mmoja Ila unaweza kuwa katika mtindo tofauti kulingania na Zama na Aina ya watu mfano , Daudi alkuwa na zaburi na alikuwa ana Sheria tofaut na sis kabsa ,hvy hvy Musa , .
Ukilsikia eti walikuwa wote waislamu haimaanishi eti walikuwa Kama unavyotuona sisi Leo hvyo hvyo Bali lengo lao Ni moja Ila katika mitindo tofaut.
NB:kila watu walikuwa wakipelekewa mtume au nabii Kuna ambao walitakiwa wamuamini tuu ndo mtihani wao Wala hakuwa na kitabu au Sheria Bali wamuamini tuu na Kuna Ni manabii tu manake hawakupewa vitabu Bali vipande tu vya Sheria na mitume wampewa vitabu na miongozo kamili.
Mimi najiuliza tu...kama uislam ndio dini ya haki, ina maana wachina wote billion moja na ushee hawataingia mbinguni?
Mbona Mungu kawaumba wachina wengi hivi ilihali wanaenda kinyume na dini yake?
Haki haiiangiliwi kwa wingi watu mpendwa had watu wanaomtii mola huwa wachache hta sjui kwaninin.
Kweny Quran imeandikwa katika suratul qaaf kwamba tutaijaza jahannam kwa majini na watuu.
Mifano.
1.watu wa lutu waliuuwawa mji mzima kasoro familia yake ukiacha mke wake na watuu wachache tu waliomuamini.
2.mtume nuhu kulingania na sisi waislamu aliwahubiria watu wake miaka 1000 ispokuwa 50 yaan 950 ila alipata watu 80 tuu na hta mke wake ,mtoto wake hakumuamini kabisaaa , watu walikuwa wanakufa wanazaliwa yey yupo tuu .ukisoma suratul-at-tahariim Aya 10-12 ,utaona mke wa nuhu na luti Allah anawapgia mfano Yani walikuwA chini ya waja wema Yan waume zao na hawakuamini .kwahyo mpendwa Imani so mchezo .
3.uliza pia yesu alpata wNgapi???
Na Hili Ni zingatio kwa wale wanaoamini hawa wanaojiita manabii Zama hzi unabii so mchezo hawa Ni waongo hamna nabii aliwahi kupata wafuas kirahisi Wala kuishi kwa Raha walipitia madhila na taabu hawa wa miaka hii Ni wasakatonge warongooo!
Shame on you fake prophet.
 
Kwanza watakiwa ukubali uislamu upo tangu Adam Kama nilivyoelezea hapo juu. Hafu kulingana na uislamu Kuna mitume 25 waliotajwa katika Quran na katka Quran inaelezwa Kuna mitume hawakutajwa hawajulikani hivyo huenda hta huku Africa waliokuwepo lakini hawajulikani mana hawa wengne hawakupewa vitabu .

Kuna mitume walitumwa kuwaambia watu wao waamini tu Kuna mungu mmoja na waache kuabudu visivyokuwa yeye bila kuwekewa Sheria yoyote, kila watu walikuwa na mtume wao ispokuwa MUHAMMAD tu Ni wa mwisho na Ni kwa ajili ya ulimwengu mzima si Kama labda Musa kwa ajili ya Wana wa Israel tu n.k.

Kwahyo tambua siyo kwamba watu wa zamani labda huku Africa hwakuwa na mitume Bali sisi hatuwajui kwahvy usiseme wamepotea et Ni wa Motoni moja kwa moja labda Kama walikuwa na mtume haf wakamkataa.
Ama wale ambao hawakupewa mtume Wana udhuru huo , Ila siku ya kiama watapewa mtihani ili na wao wajaribiwe.

Uislamu umekamilika angalia hii mifano ,
1.waarabu wote waliokuwa wanaabudu sanamu kabla ya kuja mtume MUHAMMAD Ni Motoni kwa sababu hawa waliachiwa athari za ibada za babu yao Ibrahim lakni wao wakaanza kuabudu masanamu.

2.wafuasi wote wa mitume ilopita nao wapo katika njia sahihi yaani labda yesu ,Musa , yusuph,n.k wafus wao wa mwanzo sis tunaamini wapo sahihi katika Imani Mana hawakuabudu tofaut na mola mmoja
 
Kwanza watakiwa ukubali uislamu upo tangu Adam Kama nilivyoelezea hapo juu. Hafu kulingana na uislamu Kuna mitume 25 waliotajwa katika Quran na katka Quran inaelezwa Kuna mitume hawakutajwa hawajulikani hivyo huenda hta huku Africa waliokuwepo lakini hawajulikani mana hawa wengne hawakupewa vitabu .
Kuna mitume walitumwa kuwaambia watu wao waamini tu Kuna mungu mmoja na waache kuabudu visivyokuwa yeye bila kuwekewa Sheria yoyote, kila watu walikuwa na mtume wao ispokuwa MUHAMMAD tu Ni wa mwisho na Ni kwa ajili ya ulimwengu mzima si Kama labda Musa kwa ajili ya Wana wa Israel tu n.k.
Kwahyo tambua siyo kwamba watu wa zamani labda huku Africa hwakuwa na mitume Bali sisi hatuwajui kwahvy usiseme wamepotea et Ni wa Motoni moja kwa moja labda Kama walikuwa na mtume haf wakamkataa.
Ama wale ambao hawakupewa mtume Wana udhuru huo , Ila siku ya kiama watapewa mtihani ili na wao wajaribiwe.
Uislamu umekamilika angalia hii mifano ,
1.waarabu wote waliokuwa wanaabudu sanamu kabla ya kuja mtume MUHAMMAD Ni Motoni kwa sababu hawa waliachiwa athari za ibada za babu yao Ibrahim lakni wao wakaanza kuabudu masanamu.
2.wafuasi wote wa mitume ilopita nao wapo katika njia sahihi yaani labda yesu ,Musa , yusuph,n.k wafus wao wa mwanzo sis tunaamini wapo sahihi katika Imani Mana hawakuabudu tofaut na mola mmoja
Yesu kristo alikufa msalabani na siku ya tatu akafufuka, ili ulimwengu uokolewe kupitia yeye. Hakuna mwingne aliyekufa kwaajili ya ulimwengu. Huyu ndiye ufunguo wa uzima wa milele kwa wamwaminio wote, hakuna mwingine ila yeye. Ukimwamini utaokoka.
 
Usipo jitoa akili huwezi hangaika na huu upuuzi wa dini.

Waaini wa dini hasa uislamu ni watu wenye uwezo mdogo sana wa akili.
Mkuu chunguza upya bora waislam mara milion ,kuna hawa vichwa panzi wanaojiita walokole.
 
Mungu ndiye ajuaye usiumize kichwa kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wa binadamu.Jipange wewe utakakokwenda kwa imani yako.
 
Achilia mbali mababu waliokuwako kabla ya Uislamu kuletwa,hata sasa watu wakifa katika Uislamu wahawaingii peponi!
 
Mwe dini hizi!,pengine walioanza kwenda motoni na peponi ni hao wafuasi wao waliokutwa wakiishi wakati wa uenezaji wa hizo dini ila waliokufa kabla haiwahusu
 
Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana

Lakini mimi nachotaka kujua ni kwamba Mababu zetu kabla ya kuja wa Waarabu walikuwa na imani zao na maisha yalienda, Mabilioni ya mababu zetu walishafariki kabla ya Mwarabu kuja kuwasilimisha waliokuwa hai kwa wakati huo na ndio nyie leo mnaitwa Waislam.

Swali langu ni moja tu, Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kutoka Saudi Arabia kwa sasa Wapo Motoni au Wapo peponi?

Na kama wapo Motoni kosa lao ni lipi?
Jombaa, kila zama na kitabu chake, it's that simple
 
Back
Top Bottom