Ikulumaliyawananch
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 339
- 533
Mabilionea sio kitu kizuri kwa taifa.
huo ndio ukweli sema tu watu wengi hawaeliwi watu wanawezaje kuwa mabilionea. nilisha wahi kupost kuwa mabilionea hawana tafauti na madictator watu wakapinga ila miaka ishirini ijayo kama mabilionea watazidi kuongezeka tutegemee umasikini kuongezeka ulimwenguni.Mfano mzuri ni marekani, ambako mabilione wanaongezeka kwa kasi kubwa na idadi ya watu wanao shuka kutoka kipato cha kati na kuingia level ya umasikini inaongezeka na masaa watu wanayo fanya kazi inaogozeka kwa kasi. pia hali ya tofauti kati ya masikini na tajiri inazidi kupanuka kwa kasi ya ya ajabu.
ukisoma utajiri Wa abrahimovic utaelewa jamaa Ana point kabisa
hiyo natural selection theory ,ni kweli kabisa hicho alicho zungumzaHuyo mbunge yupo negative sana. Atupe list ya mabilionea ambao wamepata ubilionea wao kwa kuwanyonya wananchi wenzao.
Forbes walisema mabilionea Saba wanamilikiWanasema 1% ya mabilionea duniani wanamiliki 50% ya uchumi wa dunia
Huyo mbunge namfananisha na mbunge msukuma.
Unapomuona msukuma ana ropoka ropoka bungen usije zan ni masikin kama weweHuyo mbunge namfananisha na mbunge msukuma.
Anachozungumza ni kweli wewe hujui uliza tunaofanya kazi kwenye makampuni ya watu full mnyonyo hadi sio poaHuyo mbunge yupo negative sana. Atupe list ya mabilionea ambao wamepata ubilionea wao kwa kuwanyonya wananchi wenzao.
Mkosaji mbunge aliesema au nani mkuu?Maneno ya wakosaji utawajua tu