Kama upo Shinyanga, tuna tawi letu hapo na kama upo mwanza, tuna tawi letu hapo. unaweza kwenda pale shinyanga au mwanza ukalipia kwenye tawi letu kisha tunakutumia mzigo kutoka dar. mzigo ukifika utapigiwa simu uende kuchukua kwenye matawi yetu.Malipo yanakuwaje kwa mtu anayeagiza akiwa mkoani mfano Kahama/Mwanza?
Nalipataje? Nalipata kwa njia gani? Tunalipanaje? Kwa utaratibu upi Mkuu?
Amaron ni kampuni namba moja ya betri India. mkuu hata mimi nilikuwepo hyderabad miaka ya nyuma, nilitumia sana magari ya maruti. nilinunua betri ya amaron nilitumia ilikaa muda mrefu sana mpaka naiuza gari kwa mteja betri bado inafanya kazi asilimia 100%.Hayo mabetri ni kweli mazuri natumia moja hapa mjini bangalore..... Safi sana km yameingia bongo...
Hayo matawi yanashuhulika na nini kama mzigo wenyewe hupo Dar?Kama upo Shinyanga, tuna tawi letu hapo na kama upo mwanza, tuna tawi letu hapo. unaweza kwenda pale shinyanga au mwanza ukalipia kwenye tawi letu kisha tunakutumia mzigo kutoka dar. mzigo ukifika utapigiwa simu uende kuchukua kwenye matawi yetu.
hayo matawi ni ofisi zetu ambazo zimesajiliwa kisheria. haya matawi yanauza bidhaa mbali mbali kutoka kampuni yetu ya Quality Motors ltd. Tunauza bidhaa za mabetri, matairi, pikipiki, magenereta na water pump. Sasa kuna matawi yetu mengine za huko mikoani hawana mabetri, wamepewa bidhaa zingine za kuuza kama pikipiki na genereta na kuna matawi mengine wanauza mabetri na vitu vingine. Sasa kwa mfano, ikitokea kuna mteja ambaye anahitaji betri ya Amaron lakini kwa bahati mbaya tawi letu ambayo ipo karibu na huyo mteja hawana mabetri, basi sisi tunachokifanya ni kwamba mteja atalipia hapo kwenye tawi letu pamoja na usafiri halafu sisi tutamsafirishia mzigo wake na ataenda kuchukua kwenye hio tawi.Hayo matawi yanashuhulika na nini kama mzigo wenyewe hupo Dar?
hayo matawi ni ofisi zetu ambazo zimesajiliwa kisheria. haya matawi yanauza bidhaa mbali mbali kutoka kampuni yetu ya Quality Motors ltd. Tunauza bidhaa za mabetri, matairi, pikipiki, magenereta na water pump. Sasa kuna matawi yetu mengine za huko mikoani hawana mabetri, wamepewa bidhaa zingine za kuuza kama pikipiki na genereta na kuna matawi mengine wanauza mabetri na vitu vingine. Sasa kwa mfano, ikitokea kuna mteja ambaye anahitaji betri ya Amaron lakini kwa bahati mbaya tawi letu ambayo ipo karibu na huyo mteja hawana mabetri, basi sisi tunachokifanya ni kwamba mteja atalipia hapo kwenye tawi letu pamoja na usafiri halafu sisi tutamsafirishia mzigo wake na ataenda kuchukua kwenye hio tawi.