Sitoshangaa kabisa akishinda nafasi ya Uspika,
Msijedhani ameshinda kwa nguvu ya Upinzani kumuunga mkono...
asilani, (inasemekana ni kada maarufu sana wa naniliu...)😎 hivyo basi wenzake ati ni lazima wamuunge mkono vilivyo kwa wengi wao kutopiga kura 😛eep:
Vema tusubiri majibu...