Mabere Nyaucho Marando katupwa wapi?

Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

acha uchokozi, Marando anafanya kazi ya kuwatetea baadhi ya watu waliofanywa kondoo wa kafara.

Mimi sina tatitzo profession ya mtu, ila kama mtu kapigwa risasi na polisi kwa tuhuma za ujambazi akifikishwa hospitali inamaana Dk atakayemsaidia ni jambazi, jibu ni HAPANA.

Marando anawatetea wale jamaa ili wampe DOCs. muhiu zinazohitajika katika Ustawi na ukuaji wa CDM.
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.


kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?


1. Kama kamati ina wajumbe saba haiwezekani kila mwanaChadema au kiongozi awe kwenye kamati. Haiwezekani unless ufanyike mwuujiza!

2. Kuhusu Marando kutetea mafisadi - hili naona ni tafsiri yako tu kwa vile uelewa wako wa sheria ni mdogo. Nikuulize swali: Ikitokea wewe jinsi ulivyo ukatuhumiwa kutetembea na mke wa X na hatimaye ikatokea ukashtakiwa mahakamani na kudaiwa fidia ya shilingi milioni 500. Utafanya nini? Utapenda upate wakili atakayekuwakilisha mahakamani ili utendewe haki au kwa vile umeambiwa kulipa hizo shilingi milioni 500 utalipa tu on grounds kwamba ukituhumiwa ndiko kukosa kwenyewe?

3. Kama hujui sheria ni kwamba mahakamani mtu akituhumiwa na kukubali kosa anatiwa hatiani na hakuna haja ya kuwa na shahidi. Ila akikana kosa, anabaki bila hatia hadi hapo mahakama inapomtia hatiani. Kwa hiyo, mtuhumiwa wa ufisadi anayekana kosa anabaki bila kosa na hivyo akihitaji msaada wa kisheria ili haki ipatikane anapata. Ni kwa hili, ambapo huwa watuhumiwa huwa wanahitaji wakili. Kusema Marando anawatetea mafisadi siyo sahihi unless kama Marando na hao mafisadi wamefanya huo ufisadi na mahakama imewatia hatiani baada ya kuridhika na ushahidi. Kinyume na hapa, hakuna cha kusema anawatetea mafisadi bali anasaidia ili haki ipatikane maana bila kuwepo utetezi/msaada wa kisheria watu wangekuwa wanatiwa hatiani bila kosa karibu mara zote. Ndiyo maana kuna upande wa mashtaka na upande wa utetezi - kuwepo kwa pande hizi mbili kunasaidia haki ipatikane. Kama kungekuwepo tu upande wa mashtaka basi watu wengi wangekosa haki kila siku maana leo nikikutuhumu tu kuwa umeniibia ingetosha kukufunga bila ushahidi wowote.
 
cdm inapinga ufisadi mchana ucku marando anawatetea ili waendelee kula keki ya taifa wtz ha2wahitaji viongozi wanafiki kama hawa.2nahitaji viongozi wazalendo kama vile NAPE na kwa mbaaaali zitto kabwe
 
Unajua ndio swali nililokuwa najiuliza leo, tena nilitaka kulitupa humu kabla sijaona uzi huu!
Jamaa hasikiki kabisa yaani
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?

3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

Tuwaze nje ya box kidogo! Hapo kwenye red, bingwa anaenda mahakamani kumsaidia mtuhumiwa kupata haki yake kwa kutafsiri sheria na kusimamia mwenendo wa kesi kadri ipasavyo. Kwa maana hiyo mtuhumiwa akikutikana na hatia, HAKI yake ni adhabu(Kufungwa, faini...). Asipokutwa na hatia HAKI yake ni kuachiwa huru. Hilo ndo jukumu la WAKILI.
 
Watu ambao hawajasoma sheria na wenye uelewa finyu ni wepesi wa kuwashambulia wanasheria na wanahisi wanasheria ni watu waongo,corrupt na wababaishaji,ndugu tafathali,sheria ni msitu mnene,achana na wanasheria coz hujui sheria ni nn!
 
1. Kama kamati ina wajumbe saba haiwezekani kila mwanaChadema au kiongozi awe kwenye kamati. Haiwezekani unless ufanyike mwuujiza!

2. Kuhusu Marando kutetea mafisadi - hili naona ni tafsiri yako tu kwa vile uelewa wako wa sheria ni mdogo. Nikuulize swali: Ikitokea wewe jinsi ulivyo ukatuhumiwa kutetembea na mke wa X na hatimaye ikatokea ukashtakiwa mahakamani na kudaiwa fidia ya shilingi milioni 500. Utafanya nini? Utapenda upate wakili atakayekuwakilisha mahakamani ili utendewe haki au kwa vile umeambiwa kulipa hizo shilingi milioni 500 utalipa tu on grounds kwamba ukituhumiwa ndiko kukosa kwenyewe?

3. Kama hujui sheria ni kwamba mahakamani mtu akituhumiwa na kukubali kosa anatiwa hatiani na hakuna haja ya kuwa na shahidi. Ila akikana kosa, anabaki bila hatia hadi hapo mahakama inapomtia hatiani. Kwa hiyo, mtuhumiwa wa ufisadi anayekana kosa anabaki bila kosa na hivyo akihitaji msaada wa kisheria ili haki ipatikane anapata. Ni kwa hili, ambapo huwa watuhumiwa huwa wanahitaji wakili. Kusema Marando anawatetea mafisadi siyo sahihi unless kama Marando na hao mafisadi wamefanya huo ufisadi na mahakama imewatia hatiani baada ya kuridhika na ushahidi. Kinyume na hapa, hakuna cha kusema anawatetea mafisadi bali anasaidia ili haki ipatikane maana bila kuwepo utetezi/msaada wa kisheria watu wangekuwa wanatiwa hatiani bila kosa karibu mara zote. Ndiyo maana kuna upande wa mashtaka na upande wa utetezi - kuwepo kwa pande hizi mbili kunasaidia haki ipatikane. Kama kungekuwepo tu upande wa mashtaka basi watu wengi wangekosa haki kila siku maana leo nikikutuhumu tu kuwa umeniibia ingetosha kukufunga bila ushahidi wowote.

Si ukubali tu kuwa hakuna msafi hapo sio ccm tu bali hata huko cdm, eeehe samawani sana, nimekosea njia, nilikuwa napita tu.
 
Nini mafisadi hata shetani akija tutampa wakili wa kumtetea makosa yake!

haswa ikizingatiwa hakupewa haki ya kujitete alifukuzwa tu na mungu, kama kamati ya mwakembe ambavyo haikumpa haki lowasa ya kujitete
 
Anachokifanya ni sahihi kwa sababu hiyo ni professional yake

Politics is all about perception. Kutetea watuhumiwa wa ufisadi mahakamani halafu kwenye majukwaa ya kisiasa unajidai ni mwanaharakati dhidi ya ufisadi hautaeleweka hata kama unachofanya (kutetea watuhumiwa wa huo ufisadi) ni sawa kwa mujibu wa miiko ya fani yako.

Na gharama yake kisiasa ndiyo hii tunayoiona sasa. Watu tunamuona mzushi tu akipanda majukwaani na kuwaponda mafisadi halafu mahakamani anaenda kuwatetea.

Kama yeye ana haki ya kuwatetea mahakamani hao mafisadi anaowaponda kwenye majukwaa ya kisiasa na sisi tuna haki ya kumuona mnafiki na opportunist.
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

You are absolutely wrong, mbona Xaver Rwaıtama ndo alıyekuwa akımtetea Rostam Azız zıdı ya fıdıa ya Rıchmond na Tanesco wakatı kıuharısıa Rwaıtama hujıfanya kuwa mtetezı wa Azımıo la Arusha?
So tofautısha kazı ya mtu na ıtıkadı au uongozı ndanı ya chama na when ıt comes to defendıng your clıent ınterms of executıng your professıonalısm.
So Marando kumtetea Jeetu Patel nı kazı yake ınayomwıngızıa kıpato.
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

Madaktari waliopo Chadema wasiwatibu Watu wa CCM, Watuhumiwa wa ufisadi?
Maengineer walioko Chadema wasijenge Nyumba za Wana CCM au watuhumiwa wa ufisadi?
Madereva walioko Chadema wasiendeshe magari ya wana CCM au Watuhumiwa wa Ufisadi?
Upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana hasa unapochanganya Profession na Siasa! Kila Professional in Ethics zake ambazo zinatengamana na Siasa!

Halafu ulitaka kila mtu awe Kwenye Kamati????
 
Madaktari waliopo Chadema wasiwatibu Watu wa CCM, Watuhumiwa wa ufisadi?
Maengineer walioko Chadema wasijenge Nyumba za Wana CCM au watuhumiwa wa ufisadi?
Madereva walioko Chadema wasiendeshe magari ya wana CCM au Watuhumiwa wa Ufisadi?
Upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana hasa unapochanganya Profession na Siasa! Kila Professional in Ethics zake ambazo zinatengamana na Siasa!

Halafu ulitaka kila mtu awe Kwenye Kamati????

Basi anyamaze. Asiwe anabwabwaja huko kwenye majukwaa ya kisiasa kuwaponda hao mafisadi ambao ndiyo wateja wake. What sense does that make?

Unajifanya mwanaharakati wakati hauna uanaharakati wowote ule. Hivi kweli inaingia akilini mwako mtu kumponda mteja wake hadharani?
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

Ha! ha! ha!aaa KIBOKO ya Marando, NAPE. akimsikia tu anaweweseka.
 
Back
Top Bottom